ongeeni zote ila.sitakaa nisahau movies ya foolish age ya kimada wa Majizo kuna scene moja eti alimuona baba ake anakunywa ARV akamuuliza.baba hizo.dawa unakunywa kila siku unaumwa nini hee baba ake akamwambia ni dawa za vitamini itabidi na wewe nikutafutie uanze kumeza mwanangu .daa nilicheka...
wanachekesha kweli hawa matahira.wao wenyewe hawaangalii kazi zao wanataka kutulazimisha?Irene Paul wewe kwenye kikaongo cha eatv ulisema mwemyewe hupendi wala huangalii bongo movies unapenda za nje na unajiita Angelina Jolie au we sio mmbongo movie .huna haya uko mbele kabisa
wangekuaja kuwaua hata wanaokinda bunge pale tu labda mwigulu atapata japo kaa akili kidogo.wacha tuuwane tu chama kwanza mengine baadae hii nchi iko salama
kweli kabisa kuna siku yule dada wa Azamtv mjuaji hivi.anaitwa ivona alisoma habari ya huzuni hata unayetazama inakutouch lakini ilivoisha akawa anakenua[emoji15]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.