Recent content by Edipus complex

  1. E

    Maneno maarufu secondary za bweni

    pilau =picha za ngono
  2. E

    Niambie kituko kimoja ushawahi kutana nacho kwenye filamu za bongo, mimi nilikutana na hiki...

    ongeeni zote ila.sitakaa nisahau movies ya foolish age ya kimada wa Majizo kuna scene moja eti alimuona baba ake anakunywa ARV akamuuliza.baba hizo.dawa unakunywa kila siku unaumwa nini hee baba ake akamwambia ni dawa za vitamini itabidi na wewe nikutafutie uanze kumeza mwanangu .daa nilicheka...
  3. E

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    wanachekesha kweli hawa matahira.wao wenyewe hawaangalii kazi zao wanataka kutulazimisha?Irene Paul wewe kwenye kikaongo cha eatv ulisema mwemyewe hupendi wala huangalii bongo movies unapenda za nje na unajiita Angelina Jolie au we sio mmbongo movie .huna haya uko mbele kabisa
  4. E

    Tabia za watoto katika kuzaliwa wa kwanza - wa mwisho

    daa me last borne najionaga mtoto hata wengine wananiona mtoto kuna muda nakaa na mtoto wa maiaka 20 nahisi tuko sawa kabisa
  5. E

    Jeshi la Polisi lafanikiwa kuwaua majambazi wanne na kurejesha baadhi ya silaha zilizoporwa

    huenda ye na bashite wanahusika kwanini hawajastuka hata
  6. E

    Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

    wangekuaja kuwaua hata wanaokinda bunge pale tu labda mwigulu atapata japo kaa akili kidogo.wacha tuuwane tu chama kwanza mengine baadae hii nchi iko salama
  7. E

    Zari Arusha Dongo gizani

    yaani daa
  8. E

    Hivi kwanini vipindi vya radio na Tv zote Tanzania vinafanana, anaandaa mtu mmoja?

    kama huna king'amuzi cha azam funga bakuli lako.waelewa wanajua habari nzuri kwa sasa iko Azam two
  9. E

    Hivi kwanini vipindi vya radio na Tv zote Tanzania vinafanana, anaandaa mtu mmoja?

    kweli kabisa kuna siku yule dada wa Azamtv mjuaji hivi.anaitwa ivona alisoma habari ya huzuni hata unayetazama inakutouch lakini ilivoisha akawa anakenua[emoji15]
  10. E

    Leo ndo mwisho wa Uhakiki

    kairuki hawezi kuonea uchungu kijana yeyote wa kitanzani.mumewe ana chuo na hospitali inayomuingizia pesa kila leo hata namba tunazosoma ye hazijui.
Back
Top Bottom