GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,554
- 108,895
- Thread starter
- #41
Ningeamuru wafilisiwe tu Mali zao
Hiyo ni Wewe na huruma yako ila Mimi ningeamuru pale pale IKULU kuwa Wakanyongwe na huko mbele mkinipa ridhaa ya Kuwaongozeni nitawanyonga sana / mno hadi Watanzania wote tuheshimiane na hawa Mafisadi / Wabadharifu waishe kabisa na Tanzania iwe sehemu salama kwa Wazalendo wa kweli.