kichwa panzi
Senior Member
- Sep 18, 2015
- 120
- 101
Mkuu uko benki gani?Mkuu ni kweli imesoma.... ubarikiwe kwa taarifa.
Mkuu uko benki gani?Mkuu ni kweli imesoma.... ubarikiwe kwa taarifa.
Pamoja mkuu..tutumie vizur sasaMkuu ni kweli imesoma.... ubarikiwe kwa taarifa.
Mkuu nipo bank ya NMBPamoja mkuu..tutumie vizur sasa
ha ha haaaaa yeleuuuwi mbafu ssangu mie....Bora mie nafanya kazi na nakula mshahara na pia ni mjasiriamali,sema humu tunatumia id feki unaweza ukute wewe ni mlisha ng'ombe hapa kwangu niliyekulipa jana 70000 umegongea cm kwa kwa binti wa kazi umemunua mb 70 kwa 500 voda leo unaponda wanaotegemea mshahara
muongoNmb Tayari
Mkuu umeshadroo? Au mnaashtua bure?Mshahara tayari Wakuu, Leo ni kukesha Bar tu
Ni kweli nilikujibu harakaharaka nilikuwa sijakupata vuzuri,Duuu!!! ila kwa mitusi we noooomaaa!!Tatizo hujaelewa comment yangu kiazi wewe.
Muambie awasiliane na Human Resource wa ofisi yake, atapeleka vyeti vitawasilishwa NECTA kama inahitajika, HR wake ndiyo ana majibu yoteAisee kwenye orodha ya watumishi walio hakikiwa mdogo wangu haonekani ila ni miongoni mwa waliokuwa wamesitishiwa ajira zao namsaidiaje?? Au wao kwenye ile orodha hawahusiki??
Kishatoka siyo ?Afadhali maana c Kwa kuteseka huku jamani loooohhhh
KitamboKishatoka siyo ?
Haaaa ujaokoka bado dadaYeah tayari tangu asubui so weekend mwendo wa balimi tu
uyo jamaa ni boya achana nae.....Jina lako lenyewe umeabdika kwa herufi ndogo hujui maana ya nomino na kivumishi? Unafikiri wewe unajua kuhesabu, kusoma na kuandika mkuu? (Hata 3K's) zinakushindaa, pole sana mkuu