Mimi ni wakala nilizuia muamala niliokosea kutuma kwa mteja kwa kufoward sms kwenda namba 100 matokeo na message ya kuzuiliwa muamala nikapata leo munaniambia mtu aliye pokea pesa kimakosa kafanikiwa kutoa ela usalama wa huduma zenu uko wap mumenikwaza sana na kunialibia siku
Mimi nilikua nafanya biashara ya kuuza diary nilikua naenda kariakoo nanunua diary zilizo pita muda wake kwa jumla nilikua napata kwa 2000 au 2500 ninaenda kuzaa 3500 ad 4000 wanafunz wengi wa chuo wanapenda kutumia wakat wa kutake note
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.