msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
Baada Ya Kuona malalamiko ya Shigongo Jana Nikarudisha kumbukumbu nyuma nakupekua vitu kadhaa nikakutana na Na Moja Ya Kazi Hizo anazodai kukifanyia Chama Cha Mapinduzi..
Mimi ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Lakini Hakuna kitu sipendi kama kuwagawanyisha/Kuwachonganisha Watu kwa kutumia Udini..
Je Kwa Kazi Hii Anastahili Kulipwa.? AU kuna kazi nyingine tofauti na hii..
Mimi ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Lakini Hakuna kitu sipendi kama kuwagawanyisha/Kuwachonganisha Watu kwa kutumia Udini..
Je Kwa Kazi Hii Anastahili Kulipwa.? AU kuna kazi nyingine tofauti na hii..