Huu mradi no zaid ya ufisad,no ujambazi uliopitiliza,hats magufuli aliona hill naskia wakati anaupinga aliondolewa ujenzi mkataba ukasainiwa fast a wakavuta.ila no jipu LA tambaazi[.wamejenga mijengo kufuru pale makumbumsho,ada estate na apartment upanga na mijumba kadhaa kigamboni
QUOTE="Gulwa, post: 15236886, member: 11032"]Siku ufisadi uliofanyika katika ujenzi Wa daraja hili utajulikana, wengi mtabaki vinywa wazi.. Hii jampuni iliyioewa kandarasi ya crje ni kampuni kipenzi cha de dau na umefanya miradi karibu yote mikubwa nssf na kuwafanya viongozi walio karibu dau kujilimbikizia mali za kutisha. Gharama za ujenzi Wa daraja hili ni karibu mala mbili ya gharama halisi. Takukuru mpo?[/QUOTE]