Lazima uwe na lengo, kutimia au kutotimia ni suala lingine.
Huku napita tu lakini kuna vichwa maji wengi.
Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.
kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
Labda anunue zile za kilimo anga zile za kuulia viwavi apo ataota sio leo.
Gharama ya hiyo ndege si chini ya 25m us$!!! Karne nzima atasubiri.
kwa jinsi ninavyomchukia huyu nitafanya juu chini ndege isinunuliwe hata kwa kuweka kambi bagamoyo tanga pemba na sumbawanga
Lazima uwe na lengo, kutimia au kutotimia ni suala lingine.
Huku napita tu lakini kuna vichwa maji wengi.
Gharama ya hiyo ndege si chini ya 25m us$!!! Karne nzima atasubiri.
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje #HadiWeUshindwe #WCB for life Darling....!" akimaanisha ya kwamba mafans wake wakae mkao wa kula na wajionee maajabu na kwamba ile gari ya pesa chafu landcruisser v8 aliyonunua si kitu akisingiziwa na haters eti kakodishwa na chief kiumbe,
OK so kiuffupi ni kwamba itabidi tumpe support kijana wetu wa tz aifanye hii ndoto iwe kweli maana ikitokea hivi sio siri atakua miongoni mwa wasanii waliojipatia mafanikio kuzidi tunavyofikiria
Toa comment kama una nyongeza..
Ivi unajua thamani ya ndege?? Mpk ndomo aweze kuwa nayo? Sio makalio hayo
Kwenye nini?Tunaomba lift