Recent content by Ederra

  1. Ederra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumefikia hapa na huyu mrembo,niweke gia number ngapi ili nitafune hii mali?

    Yani kukujibu hivyo ndio umekuja kunitangaza huku? Ok hupati chochote. Ova.
  2. Ederra

    JamiiForums Tanzania Pisi za maana Moshi

    Acha tumtajie tu kabisa dawa maarufu huenda itamsaidia. AZUMA.
  3. Ederra

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Fally Ipupa 'Mayday'

    Elewa tu tangu nifike kwenye uso wa dunia sijawahi kusikia wimbo mtamu kama Mayday. Iwe nimezaliwa 1914, 1805, 2019, 1280, 1993, 1987,1667,80BC,2022 au mwaka wowote; Sijawahi kusikia wimbo mtamu kama Mayday.
  4. Ederra

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Fally Ipupa 'Mayday'

    TANGU NIFIKE KWENYE USO WA DUNIA SIJAWAHI KUSIKIA WIMBO MTAMU KAMA MAYDAY.
  5. Ederra

    JamiiForums Tanzania Usiombe kuacha kazi kisa Forex. Nilivyofilisika na kukimbilia kijijini Tabora

    Ni wapumbavu tu wanaweza kuvutwa kwenye upuuzi wa Forex wakiamini kuna utajiri. Mtu anakwambia Forex ina utajiri mkubwa sana halafu hapo hapo anatoa mafunzo kwa kuchaji vijipesa. Huo muda wa kufundisha watu kwanini asiuwekeze kwenye kutrade yeye mwenyewe awe Bilionea? Ila wapumbavu hawaishi...
  6. Ederra

    JamiiForums Tanzania Maisha yanaenda kasi sana leo Sport Extra ya clouds ni kama enzi za RTD

    Wasafi na EFM wameondoa utawala wao kwenye vipindi. Na kule kwenye kuamua nani ang'ae kwenye muziki Diamond amewashughulikia ipasavyo na kuwamaliza. Hakika nguvu zina wakati.
  7. Ederra

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

    Ili uwe rais wa Zanzibar ni lazima uwe Mzanzibari. Asilimia zaidi ya 95 ya wazanzibari ni Waislamu. Sasa uwezekano wa kupata Mkristo awe rais ni asilimia ngapi?
  8. Ederra

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Ridhiwani Kikwete amemshukuru Hayati Mkapa kwa kumlipia Ada UDOM!

    Mkapa alikuwa na moyo mzuri sana wa kuwajali vijana wasio na uwezo wa kujilipia ada lakini wenye nia ya kujiendeleza kitaaluma. Mungu amlaze mahali pema.
  9. Ederra

    JamiiForums Tanzania Vikaragosi vya AI vinaua ubunifu wa sanaa ya uchoraji na havina mafunzo

    Hakuna teknolojia yoyote inayoanza bila kasoro. Hizi zitarekebishwa zote na baada ya miaka kadhaa utajionea. AI inakwenda kufanya mapinduzi makubwa mno kwenye karibu shughuli zote za binadamu. Sio kwenye uchoraji tu.
  10. Ederra

    JamiiForums Tanzania Gekul amepata nafasi ya kusikilizwa?

    Kwani amefungwa jela? Ametozwa faini? Maamuzi ya kutengua uteuzi kwenye nafasi ya kuteuliwa hayana uhitaji wa lazima wa kumpa mteule nafasi ya kusikilizwa kabla ya kutengua uteuzi.
  11. Ederra

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata mkopo wa Tsh. Milion 1 na laki 2 kwa dhamana ya vyeti vyangu?

    Ukishindwa kulipa kuna mahali mkopeshaji anaweza kwenda kuviuza ili apate pesa yake? Na unasema hujakata tamaa kuhusu ajira; Kwa hiyo siku ukiitwa kwenye interview ambapo huwa wanataka uende na vyeti vyako halisi utavipataje ikiwa bado hujamaliza deni?
  12. Ederra

    JamiiForums Tanzania Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    Yani ili upinge wizi unatakiwa kuhakikisha kuwa hakuna muumini wako aliye mwizi.?
  13. Ederra

    JamiiForums Tanzania Hawa vijana wanaovimba mtandaoni kwa maburungutu ya milioni 40 ni washamba wa pesa, Ili uvimbe kama don walau uringishie milioni 200

    Ukivimbia milioni 250 pia wapo watakokwambia hiyo sio ya kuvimbia. Watasema uwe na angalau milioni 700. Ukiwa na hiyo pia kuna watu watakuona hautoshi kuvimba eti tafuta angalau bilioni 2. Kimsingi hata ukiamua kuvimba na 35,000 (elfu thelathini na tano) ni uamuzi wako. Ni kama tu swala la...
  14. Ederra

    JamiiForums Tanzania Badala ya kushughulika na elimu inavyoharibiwa shule binafsi, unashughulika na nyimbo za Zuchu ili nawe uonekane unafanya kazi!

    Kuna mambo hutakiwi kuachia market forces za demand and supply ziyaamue. Some vulnerable groups must be protected by law and policy.
  15. Ederra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa za husband material

    Ni mwanaume mpumbavu tu anaweza kuwa na sifa hizo zote. Na ni mwanamke mbinafsi tu na asiyejua kutafuta pesa atahitaji sifa zote hizo kwa mwanaume. Kaka zangu amkeni.
Back
Top Bottom