Sifa za husband material

Sifa za husband material

1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni ……..
Dada angu huku utaandika ,utaandika humu hao watu hawapo labda utoe tangazo la biashara humu utapata wateja. Goodnight
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
Labda unzae mwenyewe tena mimba uwe umepewa na malaika
 
Akili yako kwa asilimia kubwa inaonekana inategemea Wanaume Shutka Dada Saizi vijana wa Tanzania wanakimbila kuolea Nchi jirani wew jifariji tu na mavitu ya ajabu wakati pilau zinaenda kuliwa kigali na Lilongwe

Ata na sisi wanawake siku hizi tunawakimbilia nchi za nje tumewachaa nyie wanaume mnaowadangia wanawake na wake za watu maana siku hizi nyie wanaume hamuwezi kufanya kazi mbasubiri kuolewa
 
Back
Top Bottom