Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,
Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.
Sasa je...
Dini ni utamaduni wa jamii fulani tu......
Hivyo hakuna dini sahihi duniani sababu kila jamii ina tamaduni zao.......
Sisi waafrika ndo wajinga sababu tulipokea tamaduni za watu tukaacha tamaduni zetu.....ujinga....
Uislam ni tamaduni za waarabu.......
Ukristu ni tamaduni za wazungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.