1:wanaweza kukodi...hao wawekezaji ni jina tu wenye mashamba ni wakinamagh....mbeeee
2:Haoni maana ikiona watashindwa kupeana dili za kusupply sukari
3:uko sawa kabisa
Ni kweli kabisa...amejivua na amehamia CDM....imeoneshwa na ITV ktk kipindi ya Habari zilizotufikia...Lakini na washauri waCDM kuwa na makini sana na hawa jamaa wanakuja na watakaoendelea kuja tena kwa speed...maana inawezekana ni janja ya wanamagamba kuujumu CDM...Nawasilisha
:lol:safi sana madaktari.....bigup!,endelezeni mgomo,imekuwa ni kawaida kwa hii serikali ya Tanzania kufanya mabadiliko kwa kushindikizwa,by the way pia unadhalau sana fani za watu,wkt shule yenyewe inabana...c sawa kabisa daktari kulipwa 700,000/=hiki ni kipimo pia kuona serikali unawajali vp...
JOB PURPOSE
Reporting to a Principal Engineer/Senior Engineer, you will be responsible for assisting in planning and administering all operations in regard to network extensions, maintenance, repair and rehabilitations of networks and equipments in order to have quality operations of the...
Habari zenu binafsi wadau!
Kuna shamba linauzwa,liko Kibaha kwa Matius njia ya kwenda kwa Dr Bayi lina ukubwa wa ekari 1.5 bei yake ni million 3 na nusu
kwa mawasiliano zaidi...mpigie
MR SUNDAY -0712 498 825 huyu ndiye mmiliki wa eneo hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.