huna lolote, tutolee mapovu yako hapa. Mshipa umekutoka kama beberu. Kwa taarifa yako mimi sijatumwa ila nimetoa facts jamvini ili tumpime kiongozi wetu kama huna hoja fyata mkia then sepa.
Sasa ndio naona kwa nn Mbowe huropoka sana majukwaani, kumbe shule ni ndogo na uwezo wakufikiri nao mdogo pia, duh cdm na mwaka 2010 kwenye uchaguzi mkuu walituletea mgombea mwenza wa Slaa wa darasa la saba. Viongozi wenye elimu cdm ni wachache sana sana
mbona mkwele ana GPA 2.1 gentle...na udoctor wake wa kupewaKweli kabisa kama ndo urais unatafutwa hata na huyo labda labda awepo rais wa ndani ya nchi na rais mwingine wa nje ya nchi atakayekuwa anakutana na marais wenzake duniani maana ikiwasilishwa CV yake kwao kichwefuchefu lazima
CV YA UKWELI HII HAPA funga domohapo hakuna elimu na shauri cdm watafute mtu wa kuwa mgombea urais 2015 kwa huyo kilaza cdm kitaboa sana....Dr Slaa nae huyo kazeeka...labda aingie Mh Zitto...naomba tuache ushabiki usio na tija kama mtu hana uwezo tuwe wazi...mbowe ni kilaza ilo halina ubishi.
HAKUNA KUUMA MANENO HAPA
Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.
Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.
Kweli kabisa kama ndo urais unatafutwa hata na huyo labda labda awepo rais wa ndani ya nchi na rais mwingine wa nje ya nchi atakayekuwa anakutana na marais wenzake duniani maana ikiwasilishwa CV yake kwao kichwefuchefu lazima