Wapendwa nimepata story kutoka Junior Seminary Morogoro wamevunja mkataba na mzabuni aliyekuwa na tender ya Ku supply mikate (burge) kwa ajili ya wanafunzi na kuamua kutumia wanafunzi kujipikia mikate hiyo kitu kinachopelekea wanafunzi wengine kukosa baadhi ya vipindi kwa ajili ya suala hilo...
Nimeandikiwa invoice ya Tsh 2500000 kuunganishiwa umeme. Je, Naweza nikalipa kiasi nikaunganishiwa umeme halafu nikamalizia deni au ni hadi nilipie pesa zote ndo nipate huduma?
Huu ujinga cjui mtaacha lini. Unakata kujisifu matokeo ya kwenye karatasi wakati maisha halisi umefeli.
Unajisifu umesoma wakati bado umepanga chumba kimoja kwenye nyumba ya mtu wa std 7, unaenda unakoita kazini gari unapanda la std 7, unalialia mshahara mdogo ukifulia unaenda kukopa bidhaa...
Umri ni miaka 30 wake 24.
1. Nilimpenda kwa hisia kabisaaa but sasa imekuwa tuko kwa mazoea tu ule msukumo wa mapenzi kutoka ndani umekata kabisa.
2.Naweza sema vimepungua cse mahitaji na nyakati haviko sambamba. Matarajio yangu kwake ni kama hayapo maana ujuavyo mke au mume anatakiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.