Karedio kenyewe hata kwenye tuneIn hakapo halafu wanaringa ndo mana siku hizi mi nasikiliza tbc taifa na nyumbani ni nyumbani na nikijisikia kuchoka na ka smart phone kangu nasikiliza redio za mbele na sio haka karedio ka kinafiki ,,, big uo yahaya unaishi wapi
Hehe heeeee nimependa degree humiliki hata smart phone na wakati hizi mi nazichezea kama sina akili nzuri leo iphone 4 , kesho galaxy pocket , kesho kutwa lumia 620 na nikijisikia kuchoka kabisa tecno phantom a au p3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.