Airtel ni baba lao

Airtel ni baba lao

We upo kimanzichana kwa babu unategemea speed iwe kama walio mjini?
Wewe ndiye uliyeko huko ulikokutaja. Ndio maana hujui hata spidi ya net ni nini. Sizungumzii hicho unachoweza ku surf kutumia kiji Nokia tochi au ki Samsung cha inchi mbili. Nazungumzia serious web usage
 
  • Kimsingi speed ya internet inategemeana na eneo ulilopo.
  • Yaweza kuwa hapo kwako ni very slow lakini kwa mwingine anakwambia hakuna mtandao mwengine wenye kasi kama huu.

upo sahihi kabisa, mie naitumia hapa nilipo inapiga kazi kama punda. baba lao kweli.
 
Wewe ndiye uliyeko huko ulikokutaja. Ndio maana hujui hata spidi ya net ni nini. Sizungumzii hicho unachoweza ku surf kutumia kiji Nokia tochi au ki Samsung cha inchi mbili. Nazungumzia serious web usage

Sasa serious ndio utegemee internet za simu ya mkononi? Inaonekana we ni mshamba kwenye haya mambo bora tu ukae kimya,angalia kwenye hii thread yote wangapi wamekubali speed ya net ya Airtel halafu urudi tena kucomment.
 
Back
Top Bottom