Azam Tv kama Ulaya tu.!!!

Azam Tv kama Ulaya tu.!!!

Pumba tupu.
Watu wanataka kuona mpira 'live' na sio hadithi za kamera. Hizi hadithi za kamera zinamfaa Muhidini Issa Michuzi na Ludovic lakini sio sisi hapa JF.

wivu mbaya sana hasa kwa yule ambaye kakuzidi kila kitu ni hatare..
 
chanzo Mwanaspoti:

Hongereni Azam kwa kuonyesha utofauti kwenye soka la Tanzania.
niwaambie wimbo usio wa Bongo Flavour unaohusiana na swala hili: 'mtoto wacha kupiga mayowe, wache watu waone wenyewe'!
 
sema mimi,usiseme sisi wa Jf, umetumwa na nani utusemee. au tayari kiroba? maana viroba ndio waropokaji
Pumba tupu.
Watu wanataka kuona mpira 'live' na sio hadithi za kamera. Hizi hadithi
za kamera zinamfaa Muhidini Issa Michuzi na Ludovic lakini sio sisi hapa
JF.
 
Hii ni kama "RICHMOND" tu.
Haina tofauti kwani zote ni kampun za mfukoni tu.
 
Kwenye makaratasi tunataka vitendo zaid
Ni kweli ila wanaomba tutoe mawazo yetu king'amuzi na vifurushi viuzwe kiasi gani na pia channel zipi ndio mnapenda ziwepo kwenye hicho king'amuzi wametoa twitter account yao azam_tv ndio tujaze ili iwe rahisi kwao kupata nini wananchi na wateja wao wanataka !



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Panapotakiwa kusifiwa pasifiwe tusibaki kusubili wengine wandike ili upate pa kubishia,hongereni azam maana mnapaswa kupewa pongezi hizi na maanzalizi ya makao makuu ya azam tv pale mkabala na dar group na radio tz yanaonekana.
 
Hongera sana Azam japo taarifa sio rasmi lakini visimbuzi vyao inaelezwa vitauzwa 30,000 tu, vitaanza kwa ofa ya miezi miwili bila malipo baada ya hapo utalipia kwa bei itakayotajwa hapo baadae lakini inasemwa sio zaidi ya 150,000 kwa mwezi!
 
Back
Top Bottom