Kumbe kwenu ndivyo mlivyo?!!!!!!!

Kumbe kwenu ndivyo mlivyo?!!!!!!!

Mchagga anayeweka kalamu tatu kwenye mfuko wa shati wakati hana hata nauli ya daladala.
hahahaahahahahahahaahahahah aisee nilijua hii thread haitafika hata wachangiaji kumo hamjamtaja mchaga hahaahahah
 
Hahahaha!aliyesimamisha basi aulize ni saa ngapi lol! Hapa ctaji mtu nisije chanjwa na sime bure!
 
ila wangoni hiyo inaashiria usafi....siyo sababu unapiga passport ndo chini uvae ndala.....unakuwa smart mwanzo mwisho....
 
Mpogoro anayempeleka mtoto hospitali na kumwambia Doctor mtoto wangu hapati choo lakini anaharisha sana.
 
Mpogoro anayempeleka mtoto hospitali na kumwambia Doctor mtoto wangu hapati choo lakini anaharisha sana.
hahaha labda yey anajua choo ni mpaka yale magumu....
 
Mpogoro anayempeleka mtoto hospitali na kumwambia Doctor mtoto wangu hapati choo lakini anaharisha sana.

Hahahahahah!asante BAK kwa kunichekesha usiku huu lol!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mpogoro anayempeleka mtoto hospitali na kumwambia Doctor mtoto wangu hapati choo lakini anaharisha sana.

Hahahahahah!asante BAK kwa kunichekesha usiku huu lol!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mpogoro anayempeleka mtoto hospitali na kumwambia Doctor mtoto wangu hapati choo lakini anaharisha sana.

hahahahahahaaa...... BAK umeua LOL!!!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
LOL!! Lady doctor hahahahahaha.... Laughter is always good for your health. Laughter adds more years to your life span.

Exactly!!!!!!
Thanks my dear kwa kuniongezea siku za kuishi LOL!!
 
Last edited by a moderator:
Mchagga anayeweka kalamu tatu kwenye mfuko wa shati wakati hana hata nauli ya daladala.

hahaha mama umenikumbusha mbali kua jamaa namfahamu ye alikuwa anauza mitumba ila akitoka home yuko smart utadhan anafanya kwenye kampuni fulani kabiga miwani ya gharama peni nyingi mfukoni walet inachungulia,
pengine hgaina hata hela kiatu hatari kinangaa kumbe anaenda kwenye kibanda chake cha mitumba.

ila mungu mkubwa usmart wake na heshima kazini ilimtoa hana hata elimu sasa ni kiongozi futani wa ngazi ya chini serikalini mambo yake safi. chezea chagaaaaz weye
 
Chezea wachagga weye
muulize Mkirua wanavyokua smart
hata kama hawana thumuni.

hahaha mama umenikumbusha mbali kua jamaa namfahamu ye alikuwa anauza mitumba ila akitoka home yuko smart utadhan anafanya kwenye kampuni fulani kabiga miwani ya gharama peni nyingi mfukoni walet inachungulia,
pengine hgaina hata hela kiatu hatari kinangaa kumbe anaenda kwenye kibanda chake cha mitumba.

ila mungu mkubwa usmart wake na heshima kazini ilimtoa hana hata elimu sasa ni kiongozi futani wa ngazi ya chini serikalini mambo yake safi. chezea chagaaaaz weye
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom