Recent content by Duwaa

  1. Duwaa

    Ongezeko la mishahara: Sekta binafsi hatuna Serikali?

    Sawaa mkuu tunalingojea hilo..
  2. Duwaa

    Ongezeko la mshahara linaweza kupunguza kiwango cha fedha kwa mwajiri take home

    Hivi mkuu nikuulize maana sielewi...inaa maana hii nyongeza ya mshahara Ni waliopo Serikalini tuu au na makampuni Binafsi?
  3. Duwaa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Sasa hapo hiyo pesa yangu itakua ina kaa muda wote huo ni kwanini taratibu zisiwepo kama vile unavyo fuata kanuni zingine za kutoa fedha ndipo upatiwe bidhaa maana unakuta mtu anatoa fedha yake halafu muda wa kupata huduma una kua nimuda mrefu wa kusubiria nanyi Pia mjivishe wajibu juu ya...
  4. Duwaa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Niko maeneo ya Arusha mjini kata ya sokon one mtaa wa lolovono mkabala na uswahili street Ombilangu kwenu ninyi Tanesco hususani wa mkoa huu wa Arusha tunashukuru kwa kutu sambazia nguzo mpaka mitaani pongezi sana.. Lakini kingine napenda kuwaauliza mbona kuna baadhi ya mitaa mmeruka...
  5. Duwaa

    Mbona kila nikitaka kufanya mapenzi na mke wangu inakuwa ngumu?

    Duuuh!! Mzaha mwingi Yaaani maumivu kibao msaada hapo niupi? meenzetu kaomba msaada tujaribu kumsaidia maumivu yakwenye ndoa ni mazito bora ya nje ndoa utatoa sababu lakini kwa mke asikuambie mtu Tumpe mwenzetu Dawa aepukane na fedhea kama hiyo...kwa mwenye uelewa mzaha tuuweke pembeni...
  6. Duwaa

    Arusha ni jiji kubwa lakini usafiri wake wa umma ni wa hovyo

    Ni jiji lakini tuko mjini kati hatuna wala nguzo za umeme madaraja yameenda na maji yote utafikiri ni kisiwa kisicho ishi watu... Jitihada za wakuu hazionekani.... Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Duwaa

    Namna ya kupata data zako zilizopotea/kufutwa katika simu yako ya Android

    Poa sana... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Duwaa

    Harakati za fao la kujitoa

    Nahukuru kwa muongozo lakini lengo langu lilikua nikuacha kazi au nisiendelee na mkataba ili nipate kuchukua mafao yangu sasa kama nihivyo nikiamu maamuzi hayo inamaana itakula kwangu ..? Sasa nauliza nitumie njia gani ili nipate mafao yangu yote katika hiki kipindi cha mpito alicho kitamka Mh...
  9. Duwaa

    Tambua kama unadukuliwa WhatsApp yako

    Sawa mkuu je kutaka kujua pini za wi-fi pasipo mwenyewe kujua. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Duwaa

    Harakati za fao la kujitoa

    Kwamaana hiyo nikiamua kuacha kazi mwenyewe bila kuachishwa nitapata mafao yangu yote bika usumbufu wa aina yoyote.. Ndani ya mwezi mmoja? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Duwaa

    Harakati za fao la kujitoa

    Mkuu sija elewa vizuri ambacho sitalipwa ni kipi...? Tafadhali ufafanuzi kidogo . Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Duwaa

    Harakati za fao la kujitoa

    Mkuu inachukua muda gani mpaka kulipwa mafao yako yote aidha umeachishwa au mkataba hautaki kuendelea nao au kuacha mwenyewe kazi... Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Duwaa

    Harakati za fao la kujitoa

    Salamu nyingi kwenu.. Naomba kuuliza hii hali inaendelea japo mheshimiwa Rais katia ufafanuzi na kurudisha kama awali?.. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Duwaa

    Maumivu

    Nashukuru sana Mr Chaz Lee.... Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Duwaa

    Maumivu

    Oky na shukuru kwa ushauri wako nakifanyia kazi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom