Ongezeko la mshahara linaweza kupunguza kiwango cha fedha kwa mwajiri take home

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Serikali imeridhia ongezeko la mshahara kwa watumishi wa serikali lakini isipoweka vizuri mahesabu yake baadhi ya watumishi mishahara yao itaongezeka kwa maana ya basic pay lakini kiasi cha mwisho yaani take home itapungua kama serikali haitafanya marekebisho ya muundo wa PAYE.

Ongezeko la mshahara linaweza kumhamisha mtumishi kutoka ngazi ya chini ya PAYE hadi ya juu yake ambayo ina makato makubwa kuliko ongezeko la mshahara. Mfano mfanyakakazi wa kima cha chini 270,000 akiongezewa mshahara ataanza kulipa kodi ya PAYE ambayo awali alikuwa halipi.

Pia mfanyakazi aliyekuwa anapata mshahara kuanzia 520,000 hadi 760,000 alikuwa analipa PAYE kiasi 20,000 + 20% ya kiwango kinachoongezeka juu ya 520 000 akipanda mshahara kuwa 761 000 atahamia kwenye category mpya ambapo atalipa PAYE 68,000 +25% ya kiwango kinachoongezeka zaidi ya 760,000.
 
Nadhani hili linatakiwa kufanyiwa mahesabu mapema ikiwepo kuongeza kiasi ambacho kitakatwa kodi ya asilmia fulani..kama percent imeongekezeka kwenye salary kiasi kilichoongszeka kwenye hiyo salary kiongezwe kwen PAYE..ili faida ya ongezeko la mshahara ionekane
 
Serikali imeridhia ongezeko la mshahara kwa watumishi wa serikali lakini isipoweka vizuri mahesabu yake baadhi ya watumishi mishahara yao itaongezeka kwa maana ya basic pay lakini kiasi cha mwisho yaani take home itapungua kama serikali haitafanya marekebisho ya muundo wa PAYE.

Ongezeko la mshahara linaweza kumhamisha mtumishi kutoka ngazi ya chini ya PAYE hadi ya juu yake ambayo ina makato makubwa kuliko ongezeko la mshahara. Mfano mfanyakakazi wa kima cha chini 270,000 akiongezewa mshahara ataanza kulipa kodi ya PAYE ambayo awali alikuwa halipi.

Pia mfanyakazi aliyekuwa anapata mshahara kuanzia 520,000 hadi 760,000 alikuwa analipa PAYE kiasi 20,000 + 20% ya kiwango kinachoongezeka juu ya 520 000 akipanda mshahara kuwa 761 000 atahamia kwenye category mpya ambapo atalipa PAYE 68,000 +25% ya kiwango kinachoongezeka zaidi ya 760,000.
Hakuna mfanyakazi hata anaeanza kazi serikalini anayepata mshahara take home chini ya Laki 3.

Kwa mujibu wa The Citizen, Watumishi wengi itaongezeka Kati Tsh 42,000- Tsh 45,000 ( Take home)

Screenshot_2022-05-16-14-36-32-407_com.android.chrome.png
 
Hakuna mfanyakazi hata anaeanza kazi serikalini anayepata mshahara take home chini ya Laki 3.

Kwa mujibu wa The Citizen, Watumishi wengi itaongezeka Kati Tsh 42,000- Tsh 45,000 ( Take home)

View attachment 2226963
Inaweza sijaeleweka lakini kunaweza kutokea tatizo pale ongezeko la mshahara lisipoonekana kwenye take home ya mtumishi...ongezeko la mshahara linaweza kumhamisha mtumishi kutoka category ya chini ya PAYE kwenda juu na muundo wa PAYE malipo huongezeka kulingana na kiwango kipya cha mshahara.ndiyo maana tunashauri serikali wakati inapandisha mshahara iangalie upya muundo wa PAYE ili ongezeko la mshahara lionekane
 
Nadhani hili linatakiwa kufanyiwa mahesabu mapema ikiwepo kuongeza kiasi ambacho kitakatwa kodi ya asilmia fulani..kama percent imeongekezeka kwenye salary kiasi kilichoongszeka kwenye hiyo salary kiongezwe kwen PAYE..ili faida ya ongezeko la mshahara ionekane
Hivi mkuu nikuulize maana sielewi...inaa maana hii nyongeza ya mshahara Ni waliopo Serikalini tuu au na makampuni Binafsi?
 
Ikifika mwezi wa saba wakipata mshahara ndio watajua hamna kitu, labda atende haki watu wapate na annual increment ila bila annual increment ni usanii mtupu, maisha ya mtumishi ni annual increment sio huo upuuzi wa aslimia fake 23.3 wapo watakaopata 2.5%,3%, 5%, 7, etc huku kelele ni 23.3% uhuni mtupu
 
Back
Top Bottom