Ongezeko la mishahara: Sekta binafsi hatuna Serikali?

kukatwa paye na nssf sio kigezo cha sector binafsi kufata masharti ya serikali.. uliza watu wangapi wa sector binafsi wanafanya kazi mpaka jpili...wangapi wanafanya overtime na hawalipwi hizo hela.. hizo nssf zenyewe maboss wanakata ila hawapeleki helaa ila HUWEZI KUFANYA LOLOTE zaidi ukitaka maslahi makubwa uache kazi ukatafute kwingine kwenye maslahi unayotaka.
Sasa hapo unakuwa ujeuli wa mwajiri na unyonge wa mwajiliwa kwenye kudai haki zake ila kwa mtu wa mkataba akitumia huo mkataba anapata haki zake, mfano Kila mwezi kwenda kuangalia Nssf kama hela zake zimeingia maana namba ya Nssf mfanyakazi anakuwa nayo na kama hela haziigii kwenye account yako basi unawajulisha Nssf wafate hela zako, kuhusu kufanya kazi mpaka jumapili hapo inategemeana na mkataba wako umeandikwaje kama mlikubaliana na mwajiri utaranya kazi mpaka jumapili na mkataba ukaandika hivyo basi huna budi kufanya kazi maana hata serikalini Kuna watu wanafanya kazi mpaka jumapili ila mara nyingi kazi za hivyo Zina zamu hivyo kufidia masaa ya sheria za kazi na yakizidi ndo overtime, kingine Kila mkoa una ofisi za labor na ofisi za usuruhishi wa migogoro kazini kwaajili ya kumlinda mfanyakazi pale mkataba wake usipofatwa na mwajiri unakwenda kushitaki huko na mwajiri anawajibishwa pale akikutwa na makosa kikubwa uwe na mkataba na ufanye kazi kwenye sehemu zilizojisajili serikalini kwa usalama wako hizo sehemu au kampuni zilizojisajili serikalini na kutambulika huwa zinakaguliwa mara kwa mara kama zinafata sheria za kazi na usalama wa mfanyakazi kazini.
 
It's a matter of time ...hata sector binafsi waliacha kupandisha serikalini walivyoacha.
Sio kweli. Kuna watu sekta binafai kila mwaka wanapata ongezeko.
Na Kuna wengine huko sekta binafsi huu mwaka wa 10 haijaongezeka hata miaa

Ukiwa unafanya kazi private sector, hakikishia unafanya kazi vizuri. Maana ukiacha tu suala la kuongezwa mshahara pia Kuna kufukuzwa kutokana na performance yako kuwa chini
 
Sio kweli. Kuna watu sekta binafai kila mwaka wanapata ongezeko.
Na Kuna wengine huko sekta binafsi huu mwaka wa 10 haijaongezeka hata miaa

Ukiwa unafanya kazi private sector, hakikishia unafanya kazi vizuri. Maana ukiacha tu suala la kuongezwa mshahara pia Kuna kufukuzwa kutokana na performance yako kuwa chini
Nakuelewa sana ila mimi Nazungumzia collective mandatory increments. Sio performance based. Haswaa kwenye kima cha chini.
 
Nakuelewa sana ila mimi Nazungumzia collective mandatory increments. Sio performance based. Haswaa kwenye kima cha chini.
Kima cha chini Cha serikali ni sh ngapi? Maana nataka nikutajie makampuni mengi tu yanayolipa wafanyakazi 150000 Hadi Leo hii, Tena ni makampuni makubwa tu
 
Kima cha chini Cha serikali ni sh ngapi? Maana nataka nikutajie makampuni mengi tu yanayolipa wafanyakazi 150000 Hadi Leo hii, Tena ni makampuni makubwa tu
Naahapo ndio inapokaa hoja yangu, mfano kwa private Security kampuni ndogo (mostly za wazawa ) wanatakiwa kulipa minimum ya TZS 100,000 kwa mwezi na kampuni kubwa ni minimum ya TZS 150,000 kwa mwezi. So they are legally safe untill changed.

NB kwa serikalini kulikua kuna watu wanaitwa TGOS A Sh240,000. Not sure if bado olikua ivo mpaka juzi.
 
Naahapo ndio inapokaa hoja yangu, mfano kwa private Security kampuni ndogo (mostly za wazawa ) wanatakiwa kulipa minimum ya TZS 100,000 kwa mwezi na kampuni kubwa ni minimum ya TZS 150,000 kwa mwezi. So they are legally safe untill changed.

NB kwa serikalini kulikua kuna watu wanaitwa TGOS A Sh240,000. Not sure if bado olikua ivo mpaka juzi.
Basi upo sawa kabisa. Ila kuhusu increment hapo serikali haina sauti kwa private sector, maana private sector itamuongezea mshahara mfanyakazi wake kulingana na performance na pia kampuni imepata faida kiasi gani.
Humu Kuna mtu alikua anasema serikali ikiongeza mshahara inakua kwa wote, ndipo nilipoona Kuna tatizo kwa uelewa.
Tena Kuna kampuni Sasa hivi zinafanya retrenchment, achilia story za kuongeza mshahara wao wanawaza kupunguza wafanyakazi.

Watu wengi wanapenda ajira za serikali sababubya hiyo security, ww ukiwa unawaza kuongezewa mshahara kampuni inawaza kukupunguza
 
Basi upo sawa kabisa. Ila kuhusu increment hapo serikali haina sauti kwa private sector, maana private sector itamuongezea mshahara mfanyakazi wake kulingana na performance na pia kampuni imepata faida kiasi gani.
Humu Kuna mtu alikua anasema serikali ikiongeza mshahara inakua kwa wote, ndipo nilipoona Kuna tatizo kwa uelewa.
Tena Kuna kampuni Sasa hivi zinafanya retrenchment, achilia story za kuongeza mshahara wao wanawaza kupunguza wafanyakazi.

Watu wengi wanapenda ajira za serikali sababubya hiyo security, ww ukiwa unawaza kuongezewa mshahara kampuni inawaza kukupunguza
Yeah sometimes Government interventions works..mostly serikali ikiwaforce huwa wanapandisha charges,,,some clients will terminate contracts looking for cheaper options but those who remains will have a positive contribution...and eventually once things are stable customers wanarudi or kuongezeka and start hiring again..tofauti na hapo you start see people stealing or underperforming kwasababu ya manung'uniko ya mishahara.
 
Na huu mfumo ndiyo unawaumiza na kuwapumbaza wa sekta binafsi.

Mkuu sekta binafsi kuna challenge nyingi sana,, kuna wakati Biashara zinafeli hadi unatamani kupunguza wafanyakazi ila ndio hvo unakomaa kibabe sana....

Sasa ukisikia kuna mtu anataka huku nako tuanze kupangiwa na Serikali ni kama anaongeza moto kwenye kidonda....

Sekta binafsi bila mfumo wa Kibepari hakuna hatua utapiga....
 
Mishahara inapoongezwa ni kwa wote. I mean salary incriment is to the both parts; govemental and private sectors. Tarehe tajwa ikifika angalia salary slip yako itasomaje.
Sawaa mkuu tunalingojea hilo..
 
Back
Top Bottom