Recent content by dunia kigeugeu

  1. D

    JamiiForums Tanzania Wana ndoa na sherehe za usiku......

    Jamani nadhani mtoa hoja hamjamwelewa vizuri, amesema mume kabaki NYUMBANI na sio vinginevyo. Mi nadhani si halali kitendo hicho, kusafiri no inshu nyingine kabisa. Kwa hiyo jengeni hoja Na sio kumshambulia mtoa hoja
  2. D

    JamiiForums Tanzania promotion ya vodacom kesho majanga

    Smart phone wapi, hizi mbwembwe tuu za vodacom, eti HUAWEI HUAWEI kumbe kitochi cha HUAWEI Na sio smart phone. ingawa TIGO wanazingua network lakini wamejitaidi katika kuleta smart phone kwa being nafuuuu,
  3. D

    JamiiForums Tanzania Tanzania nje ya ushirika wa africa mashariki

    Itakuaje kama Tanzania ikaondolewa katika muungano huo? Je no nini kilicho sababisha kuvunja muungano Wa Africa mashariki.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Leo treni ya mwakwyembe imekua club;ni hip hop kwenda mbela kwa sauti kubwa(50 cent)

    Jamani kwenda Na wakati ndio kuto sikiliza habari, hii si sawa, lazima atakua ameudhi watu wengi, mi nilidhani ikifika saa moja atatoa, na imekua kinyume!
  5. D

    JamiiForums Tanzania Leo treni ya mwakwyembe imekua club;ni hip hop kwenda mbela kwa sauti kubwa(50 cent)

    Leo imekua balaa, CD ya 50cent mpaka wamesahau taarifa ya habari, nadhani DJ leo ni kijana mdogo sana:eek:
  6. D

    JamiiForums Tanzania zip ya suruali ikinasa kwenye ngozi ya mdudu utaitoaje?

    Watu wanasema tuu, inshu hizi zinatokea popote pale mie ilinitokea wakati Nina usingizi Wa asubuhii nimetoka maliwatoni, ile nafunga tuu zip bhaaaa ikabana air nikaanza kuimba mwenyewe naomba msamaa kwa hewa, ilinichukua kama dakika 10 kuondoa no experience ambayo inanifanya niwe makini sana...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Poteza pesa ujue njia za mkato
  8. D

    JamiiForums Tanzania Hodi naingia katika JF, natumai nitajisikia faraja humu

    Nimekua nasikia JF kila kona Leo nimeona bora nisiishie kusikia Bali nijionee mwenyewe. Na nilichokikuta no tofauti Na nilichosikia, nine habarika, nimecheka na kuburudika zaidi
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni upi baada ya kuoa au kuolewa

    Inshu sio utakuta nini kwenye ndoa yako bali ni nini unataka ukuye kwa sababu ndoa ni wewe na umpendae. Nyote wawili mnajukumu LA kuifanya ndoa I we nzuri au mkaibomoa.
  10. D

    JamiiForums Tanzania Vyoo vya kisasa karibuni vitakuwepo mjini dares-salaam unasemaje?

    Hii ni kamba tuu, haya mambo ya kijijini tuu, hapa mjini haitawezekana
  11. D

    JamiiForums Tanzania Mwizi wa kuku avuliwa nguo baada ya kukamatwa ….Wananchi wamfungia ndani ya tenga ili wamchome moto

    Hii imekua kawaida sana haswa enzi hizi za sasa ambapo kupata hela ni ngumu sana, wananchi wamechoka sana na mtu ambaye anataka short cut katika maisha no mbaya sana ila kitendo cha kumchoma sio kizuri Na soi suluisho. Wananchi watafute njia mbadala Na sio kuua. Kwa sababu wanavyoua wanakua...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nyumba moja wapangaji wengi

    Kwa kweli hay a mambo yapo sana tena huku uswahilini tumeshazoea sana. Tatizo maisha magumu sana Na vishawishi no vingi sana, kama huyo mdada alimtoa bushi basi hakua amezoea mazingira ya wanaume Wa mini, Na inawezekana alishawishika Na kitu kidogo sana.
  13. D

    JamiiForums Tanzania Nimebaki njia panda juu ya huyu mrembo

    Issue sio kubaki njia panda, hapo bora amekueleza mapema, kuliko kuja kupigani mapenzi Na kuingia kwenye mtandao Wa ngono, kimbia babu life is to short
Back
Top Bottom