chwechinyong
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 223
- 105
yawezekana kweli hujaelewa au hujui aina ya nyumba nayo izungumzia! sasa nakuelekeza, kwa kawaida nyumba yenye korido moja navyumba pembeni huwa na mlango wa kila chumba na milango miwili wa nyuma na mbele! na kwa kuwa wapangaji ni wengi huwezi kufunga mlango mkubwa mara nyingi huwa umerudishiwa kwani huwezi monitor wapangaji wenzako muda gani waingie ila mlango wako wa chumba ni lazima kufunga japo kwa bidada alikua chumba cha pili ameukalia huku amerudisha mlango! sina maelezo ya ziada kukufanya uamini ila huo ndio ukweli, japo najua mwizi hufikiri kila mtu ni mwizi usikute umezoea kutunga sasa unafikiri kila mtu hapa anatunga!
Nashukuru mkuu na hayo mazingira ya hizo nyumba nayaelewa sana ila shida yangu ni hapo kwenye kuvunja mlango wa mpangaji mwenzao eti kisa wanamhisi ya kwamba yupo na mke wa jamaa. Kumbuka ni hisia na hakuna aliye na uhakika. Kama aligonga ukawa haujafunguliwa na kwa maneno uliyotanguliza katika kunijibu ni kwamba hodi aliyopiga ikiwa hajajibiwa kuna mengi. Mosi, labda jamaa bado hajarudi (mlango mkubwa haufungwi ili kuwapa uhuru wapangaji wengine kuingia ndani (maneno yako mwenyewe), pili jamaa inawezekana amelala. Yaani yapo mengi ila hilo la kuvunja mlango aisee bado nipo na msimamo wangu ya kwamba haliniingii akilini.