Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,764
jamani duniani kuna mambo ,juzi nilikutana na mzee akanambia yatawkisha ukishaoa ,nilimfungulia mlango mdada mmoja , nilipozunguuka kwenye mlango wa usukani ndipo njemba hiyo ikarusha dongo ila nikamjibu lady is first hao tukaondoka.
Ila sikulala uzingizi mnono nikifikiria yale maneno kuwa kuna nini baada ya ndoa ladha na utamu wa maisha kabla ya ndoa huwa unabadilika,yaani itakuwa hakuna tena kufunguliana milango na menginemengi yatakuwa hayafanyki tena au najizonga tu ?
Embu wakuu tuelezeni tuyajue na mapema ! Mapenzi huzidi au hupungua ? Au ni aina nyengine ya mapenzi yaani nimechanganyikiwa kabisa.
Ila sikulala uzingizi mnono nikifikiria yale maneno kuwa kuna nini baada ya ndoa ladha na utamu wa maisha kabla ya ndoa huwa unabadilika,yaani itakuwa hakuna tena kufunguliana milango na menginemengi yatakuwa hayafanyki tena au najizonga tu ?
Embu wakuu tuelezeni tuyajue na mapema ! Mapenzi huzidi au hupungua ? Au ni aina nyengine ya mapenzi yaani nimechanganyikiwa kabisa.