Recent content by dume la nyuki

  1. dume la nyuki

    Wahenga wenzangu njoo tukumbushane vipindi vilivyobamba RTD enzi hizoo

    Jungu Kuu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. dume la nyuki

    Wanafunzi wa Vyuo Vikuu binafsi 2020 tusimpigie kura kiongozi anayedharau vyuo vyetu

    Kwa kifupi anarudisha viwango vya elimu na ufaulu Tanzania, TCU wameharibu usahiri katika vyuo vikuu kwa kutozingatia ufaulu wa wanafunzi,wamevuruga mfumo wa elimu Ya juu kwa kudharirisha ufaulu wa wanafunzi.
  3. dume la nyuki

    Wanafunzi wa Vyuo Vikuu binafsi 2020 tusimpigie kura kiongozi anayedharau vyuo vyetu

    Mh. ameongea kitu ambacho kina mashiko, haiwezekani mtu afaulu kwa alama za juu apelekwe Kwenye vyuo ambavyo havina hadhi Ya ufaulu wake, mfumo huo haupo popote dunia! Best students go to best universities! Period
  4. dume la nyuki

    Wewe ni nani?

    Namnukuu sir Andy change"lengo kuu la free mason katika first degree Ni kukuweka huru kifikra na kimwili, second degree kukufanya ukitambua na kufurahia maisha kwa kiwango cha juu kabisa, na third degree Ni uhuru wa kiuchumi. Nadhani kuna mambo Ya kujifunza hapo.
  5. dume la nyuki

    Jinsi tunavyoibiwa petrol station

    Mimi gauge yangu Ya mafuta Ni digital, Unayosema Ni kweli kabisa,nimeshawekewa litre 8.6 muhudumu anakomaa kaweka litre 10, nikamwambia Kabla hajaanza kuweka mafuta nilikua na reserve Ya litre 10.2 kwahiyo baadaya Ya Kuongeza mafuta yake ilitakiwa gauge isome 20.2, nikaanza kumpa vitasa vya...
  6. dume la nyuki

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Habari wana jamii, Kuna yeyote anajua kuhusu utaratibu au mchakato wa kujiunga na hawa wajenzi huru,na Ni nini faida zake na changamoto zake kwa ujumla. Mwenye ufahamu atujuze tafadhali.
  7. dume la nyuki

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Mimi Sioni kamaliza kuna tatizo mtu akituhumiwa kwa kosa fulani, kumbukeni Ni tuhuma tu, na tuko kwny mchakato wa kuzithibitisha, wasiwasi na mihemko kwa watuhumiwa inatia mashaka zaidi!
  8. dume la nyuki

    Trump anaonewa bure

    Genesis 12:3, I will bless those who bless u and I will curse him who curses you, and from you all families of the earth shall be blessed! That's lord's everlasting blessing on Israel.
  9. dume la nyuki

    Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

    Mke wa mtu na mume wa mtu wakidadavuana kuna issue?
Back
Top Bottom