Hata ukiangalia ratiba zao zinafanana ray vanny katoa album akafwata harmonize na yeye akatoa, harmonize katoa nyimbo ya singeli lavalava na yeye akatoa na ray vanny nae katoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani wabongo acheni chuki mbna sauti ni ya harmonize hebu sikiliza ya kwenye vionjo vya indeeeeee moni yani ni harmonize halafu jamani achani ushabiki mavi
Sema sasa tukija kwenye video duh huyu harmonize kacopy sana swagga za bosi wake mpka mapozz
So evil na good vinaweza kuwepo mpka kwa mtu anaeamini mungu wa wayahundi. Hahaha nacheka,unajua watu mmelewa na dini za kuletewa ndio maana wafrika kidunia mnazaulika kwa kuacha african traditional society mkaenda kuchukua vitu ambavyo vya watu wengine na tena vitu venyewe wa africa mmevipokea...
Umeongea point Wabongo bwana wanaleta mambo ya diamond na alikiba kwenye siasa. Hata mtu yoyote lipite basi linasema elfu 30 ukienda jagwani kwa jili ya kupiga kampeni kuna mwenye njaa humu hata kataa hebu watu acheni mambo yenu bhana wasani sanaa ndo inawalisha watakataa je. Na kwanza vyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.