Ajira: Natafuta kijana mchangamfu .

Ajira: Natafuta kijana mchangamfu .

MajorDavid1992

New Member
Joined
Nov 8, 2018
Posts
2
Reaction score
3
Poleni na majukumu ya kila siku.
Natafuta kijana aliechangamka
Kazi: Hii ni part time job. (Kulingana na makubaliano)
Sifa
1. Awe anaifahamu Dar es Salaam vizuri
2.Awe na ushawishi mkubwa
N.B
Elimu ya darasani sio lazima ila akiwa nayo itakua added advantage.

Kama umevutiwa nifate inbox
 
Poleni na majukumu ya kila siku.
Natafuta kijana aliechangamka
Kazi: Hii ni part time job. (Kulingana na makubaliano)
Sifa
1. Awe anaifahamu Dar es Salaam vizuri
2.Awe na ushawishi mkubwa
N.B
Elimu ya darasani sio lazima ila akiwa nayo itakua added advantage.

Kama umevutiwa nifate inbox
[emoji28][emoji28] mkuu kijana wa kiume au wa kike
 
Poleni na majukumu ya kila siku.
Natafuta kijana aliechangamka
Kazi: Hii ni part time job. (Kulingana na makubaliano)
Sifa
1. Awe anaifahamu Dar es Salaam vizuri
2.Awe na ushawishi mkubwa
N.B
Elimu ya darasani sio lazima ila akiwa nayo itakua added advantage.

Kama umevutiwa nifate inbox

Awe Mchangamfu ili umpeleke kwa KONKI KONKI Master au?
 
Asa si utaje kazi yenyewe mtu ajue anakuja kufanya nini ajiandae

Unashangaa tunajiandaa mpaka cv tunabeba kumbe kazi ya kutembeza mayai ya kuchemsha
2[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Poleni na majukumu ya kila siku.
Natafuta kijana aliechangamka
Kazi: Hii ni part time job. (Kulingana na makubaliano)
Sifa
1. Awe anaifahamu Dar es Salaam vizuri
2.Awe na ushawishi mkubwa
N.B
Elimu ya darasani sio lazima ila akiwa nayo itakua added advantage.

Kama umevutiwa nifate inbox
Yes mkuu
 
Asa si utaje kazi yenyewe mtu ajue anakuja kufanya nini ajiandae

Unashangaa tunajiandaa mpaka cv tunabeba kumbe kazi ya kutembeza mayai ya kuchemsha
Lazima itakua ni kazi ya kutembeza vitu mitaani, si unaona hapo kwenye vigezo? Kwamba aijue DSM vizuri[emoji4] [emoji4] [emoji1]
 
Sasa mtu avutiwe na nini? wakati umeweka sifa za muombaji tu
 
Taja kazi gani...eBoooo[emoji41][emoji41][emoji41]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom