Baadhi ya wadada wana tabia za kiswazi,, maybe alivyoona umemsaidia akaona ts the right time ajisogeze sasa,, probably aliitamani sana hyo nafas.. Ndo shida ukimsaidia mtu kdogo atataka ajue hata pichu gani umevaa,,
We dada just try to move on.. Una mwaka hujamuona? Matumiz less, wivu full.. Ye anagonga huko we anakufanyia sim za ghafla.. He's such a selfish.. USIMCHEKEE..SIMAMA. Atakukondesha
Alikua anapima upepo wa kusi.. Mtu kama huyo mtam sana kama nawe ulkua unamtafutia pa kutokea. Na ndo mwenyew kaingia kingi wallahi mbona shegaa.. Hajui Gas haitishiwi kiberitii eeh..
Usimlaum sana maybe background nayo inaweza kuwa Tatizo.
1.. Possibly X boyfriend wake alikua hapendi anyoe so tabia ikawa sharia..
2.. Uchafu tu
3.. Swags
4.. UVIVU.
Hahaha bas huyo nae mkare Koz mwanaume anasifiwa Kwa kumtunza mke. So kama hapo modo tu ana dalili means ukimpta mautram atapata zaid ya huyo mweny mkia.. Naturaleee
Ukitaka kumkosoa akiyekosea ni Lazima uoneshe kosa na urekebishe.. Sasa we unasema amekosea afu huoneshi... Watu bwana. Mbona wachina Badala ya kusema kisima akasema, ki.....*.. makofi mnapiga..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.