Jamani nina pepo la kukataliwa

Jamani nina pepo la kukataliwa

Mkuu ww si ndio tuliokufundisha kutongoza juzi tu hapa ama?
 
hii hali inanihuzunisha sana. mwaka wa tatu sasa nataka kuoa lakini inashindikana. kama sijapata kikwazo toka kwa wazai basi nitapata kwa binti. mara nne nilikuwa nimemaliza process zote za kufanya harusi lakini siku ya harusi mabinti wanakuwa wanakimbia, harusi inaahirishwa na hapo ndo unakuwa mwisho. mara nyingine wazazi wa binti wanakuwa hawakupendezwa na mimi. mara nyingine wazazi wanakubali ila binti anakuwa hanipendi. sasa wakuu sasa nimetokea kumpenda mdogo wa rafiki yangu, nimemueleza hisia zangu lakini hajanijibu chochote yapata wiki sasa. inafikia kipindi nakata tamaa nahisi ni yaleyale ya kukataliwa. mi ni kijana wa dini ninamaisha yangu japo sio tajiri lakini nina maisha ambayo watu wengi wanayatamani. wakuu nifanye nini? sasa nimepoteza Imani kabisa.
Nenda kwa Ngwajima au Slaa..
 
mapenzi ya kweli hayatafutwi, bali yatakutafuta yenyewe
 
Kwanza pole, pili zidisha kumuomba mungu......katika suala hili. Tatu labda hilo jina lako ndo ulivyo...sikwambii uwe chiriku but mwanaume mkimya anaboa, kidogo jichangamshe. Nnee, inakuja kwenye mambo ya personality yako kuanzia mavazi, sio unavyaa kama mtu wa kwaya na pia mpaka unavyojiweka mbele ya watu....hiii ni muhimu sana.

Umesema pesa si issue, ongeza kuhonga kidogo sio vocha tu, make sure unakubaliana na binti sio babake. Mwanamke akikubabali hata wazee wakatae atatafuta mbinu za kuwabadilisha msimamo wao.

cc: kijana mkimya
 
Last edited by a moderator:
naona watu wananishauri aombi tu. shukran kwa ushauri wenu. jamani nimefanya sana maombi. nimekata tamaaa!

Mpaka maombi yamegoma? Anyway, fanya hivi. Anza ku-like random posts za wanadada tu humu na kuwapa rep-points. Haijalishi wanaongea nini. Baada ya muda, wafuate PM mmoja mmoja. Hii mbinu nimekupa wewe tu. Kila la kheri.
 
hii hali inanihuzunisha sana. mwaka wa tatu sasa nataka kuoa lakini inashindikana. kama sijapata kikwazo toka kwa wazai basi nitapata kwa binti. mara nne nilikuwa nimemaliza process zote za kufanya harusi lakini siku ya harusi mabinti wanakuwa wanakimbia, harusi inaahirishwa na hapo ndo unakuwa mwisho. mara nyingine wazazi wa binti wanakuwa hawakupendezwa na mimi. mara nyingine wazazi wanakubali ila binti anakuwa hanipendi. sasa wakuu sasa nimetokea kumpenda mdogo wa rafiki yangu, nimemueleza hisia zangu lakini hajanijibu chochote yapata wiki sasa. inafikia kipindi nakata tamaa nahisi ni yaleyale ya kukataliwa. mi ni kijana wa dini ninamaisha yangu japo sio tajiri lakini nina maisha ambayo watu wengi wanayatamani. wakuu nifanye nini? sasa nimepoteza Imani kabisa.

nenda KANISA LA UFUFUO NA UZIMA apo Ubungo kuna wanaokua na mapepo ya kukataliwa au utakua na ndoa za majini sasa hayatak uoe mwingine.... kuna watu wengi wanafunguliwa trust me!!!
 
Unajipenda,mtanashati,unaenda na wakati na fashion au umekaa kizee,una swagg kweli wewe,unajua kuongea kupanga maneno matamu halafu sio unamtongoza unahisi kakubari tupa ndoano Kwa wengi sio mmoja ukishindwa vyote mwaga pesa tumia helaaaaaa jombaaa uwaone

Unamaanisha atoe posa au mahar kwa wengi????
 
hii hali inanihuzunisha sana. mwaka wa tatu sasa nataka kuoa lakini inashindikana. kama sijapata kikwazo toka kwa wazai basi nitapata kwa binti. mara nne nilikuwa nimemaliza process zote za kufanya harusi lakini siku ya harusi mabinti wanakuwa wanakimbia, harusi inaahirishwa na hapo ndo unakuwa mwisho. mara nyingine wazazi wa binti wanakuwa hawakupendezwa na mimi. mara nyingine wazazi wanakubali ila binti anakuwa hanipendi. sasa wakuu sasa nimetokea kumpenda mdogo wa rafiki yangu, nimemueleza hisia zangu lakini hajanijibu chochote yapata wiki sasa. inafikia kipindi nakata tamaa nahisi ni yaleyale ya kukataliwa. mi ni kijana wa dini ninamaisha yangu japo sio tajiri lakini nina maisha ambayo watu wengi wanayatamani. wakuu nifanye nini? sasa nimepoteza Imani kabisa.

aisee kijana mkimya nami nna tatizo kama la kwako.
Naendelea kutafuta ushauri kwa wadau mbali mbali mfano akina Kipilipili, gorgeousmimi na pia naomba mrangi na mshana jr waniombee sana.KUAKATALIWA KUNAUMA......
Teh teh....
 
Last edited by a moderator:
labda una ingia katika mahusiano na vibinti vya chuo visivyoishi katika uhalisia,visivyo na maamuz binafsi .
 
Au una spiritual wife, nenda kwenye maombi Mungu atakusaidia
 
Back
Top Bottom