Nashindwa kuelewa hapa mnijuze

Nashindwa kuelewa hapa mnijuze

Sijui inakuwaga ni "pepo", hakyanani me sielewagi. The moment umechoka kumbembeleza, umekomaa mwenyewe ushaanza kumsahau ndo unaona mtu huyo na milonjo yake. Baby baby nyingi, afu bahati mbaya ule upendo wa awali ukipotea kuurudisha ni wachache sana ndo wanawezaga. Yani unabaki kujiuliza kuna kipi kipya kilichomrudisha. You just listen to your heart my dear basi

mi nashangaa hapa hata sielewi mtu unaeza kujishusha eeeee mpaka wewe mwenyewe ukajiona mjinga ndipo inapokuja point of no return limtu ndo linataka kujirudi hapana kwakweli inakeraa
 
Hako ndio kamchezo kangu. Nakula ndumu kama sio mimi,huku roho ikiuma chini kwa chini, mwisho wa siku hawa wa dizaini hii huwa wanarudi kuomba msamaha.

tena akijua kama unampenda sasa Utajutraaa vituko kibao wee upo tu haa maji yakikufika shingoni atashangaa naroho yake
 
Katishia kujamba huyo.......

Tena akikwambia hunipendi mjibu ndio sikupendi...

Asikuchoshe

ukithubutu kumjibu tu naye anajibu unajibu anajibu jibu jibu mnakua kama watoto bargaining kibao dawa ni kula buyu ajione mjinga tu
 
Kama anataka kumjibu jibu zuri ni unamjibu "k"...

hafai hata kujibiwa huyo ukimjibu conversation inakua ndeeeeeeefuu atataka mrudiane na ulishamsahau nakumtoa moyoni
 
Labda kama ana hela unaweza kuangalia angalia tena...........
atoto
 
Last edited by a moderator:
Alikua anapima upepo wa kusi.. Mtu kama huyo mtam sana kama nawe ulkua unamtafutia pa kutokea. Na ndo mwenyew kaingia kingi wallahi mbona shegaa.. Hajui Gas haitishiwi kiberitii eeh..
 
Back
Top Bottom