Recent content by dudupori

  1. dudupori

    Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

    Mwendelezo vp kiongozi?
  2. dudupori

    Miti inakua kutoka wapi? Mbona hatuoni shimo pale ulipotoka?

    We jamaa una uhakika hujavuta bangi kweli?
  3. dudupori

    Maambukizi mapya ya VVU yazidi kupungua nchini

    U.T.I nayo inashika kasi
  4. dudupori

    Wanawake pisi kali wana tofauti gani na hawa wengine kwenye mapenzi?

    Msisahau pia wanaongoza kwa kusambaza U.T.I
  5. dudupori

    Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

    Shusha vitu mzee
  6. dudupori

    Ni zipi kazi au biashara ambazo ukifanya hukosi 20k kwa siku?

    Mzee ina maana hao ng'ombe hawali, mbona hujaweka gharama ya chakula na matibabu?
  7. dudupori

    Olengurumwa: Ufafanuzi wa Kisheria kuhusu Ardhi ya Loliondo na Ngorongoro

    Kwa hii makala sasa nimepata mwanga wa kinachoendelea.
  8. dudupori

    Wazazi wa Dar kuweni serious na school bus

    Kuna uwezekano mkubwa hyo school bus si mali ya shule husika ila ni wale wajasiriamali wanaochukua tenda toka kwa wazazi kupeleka watoto shule ndio nyingi zenye hayo majanga.
  9. dudupori

    Msaada: Ndugu yangu amepooza kuanzia kiunoni kushuka miguuni

    Pole sana ndugu, kikubwa kumtanguliza MUNGU hakuna linaloshindikana kwake.
  10. dudupori

    Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

    Kwani si walipewa nafasi ya kuzungumza pale ukumbini mbele ya wajumbe wa Baraza kuu, kwann hakuyasema hayo?
Back
Top Bottom