amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,992
Wewe rudi tu mpaka banana Java.chanika road(kinyamwezi,kwa mbiki,kwazoo,buyuni),,,wapi pametulia kwa kupata hii kitu?
Huko wahafidhina wengi sana.
Wewe rudi tu mpaka banana Java.chanika road(kinyamwezi,kwa mbiki,kwazoo,buyuni),,,wapi pametulia kwa kupata hii kitu?
Una minyoo acha kusingizia nyagi. Anza dozinyagi inaleta njaa sana,juzi nimepiga chupa kubwa 5 tulikua na jamaa zangu watatu,tukala kitimoto,supu ya Ng'ombe na nyama ya kukaanga ila kufika geto tukala wali samaki hotpot kubwa size ya mwisho iko full afu bado sikushiba
msonge moshi town
kama hujui hao ndio wateja wa uhakika,chanika road kila centre ina kitimoto,sasa hivi ni full kujiachia...Wewe rudi tu mpaka banana Java.
Huko wahafidhina wengi sana.
Niunganishe mtu wangu hzo ndo mbishe zangu,naitwa shukuru mapande napatkana tabata segerea ,aiseee huto jitia kunifahamu 0657703369Leo nimebeba hii kitu kwa 15,000/=
Humo natoa hadi kilo 7View attachment 1823650
Ile mijamaa inajua kweli!!!! tena wana lima na michicha ya leo leo kule nyuma ya mabanda yao ya kuka angia kiti moto bana wee!! safi sana! ukishiba sana kuna sehemu safii! unalipia unalala kwa siku unazo taka!!Aisee kuna hiko cha msimbazi centre pale dar sio poa hawapunji wanaweka kingi balaa
Saf sana....mkuu io sehem ya kulala unaweza ingia na mchuchu?Ile mijamaa inajua kweli!!!! tena wana lima na michicha ya leo leo kule nyuma ya mabanda yao ya kuka angia kiti moto bana wee!! safi sana! ukishiba sana kuna sehemu safii! unalipia unalala kwa siku unazo taka!!
ila bei yao ndo Matata afadhali ingekuwa poa kidogo! japo parking ni bure! lkn huwezi charge mtu asiye na gari sawa na mwenye gari!.......wakazi wengi wa Mbagala hushukiga hapo!! sijui kwa nini?
Apache barRibs - Moshono (Hawa wana nyama safii sana ila expensive. Kuanzia 20,000 kwa piece/pande)
Roshen bar - Karibu na njia panda ya kwenda Kilombero (Kwa kitimoto roast na bei nafuu fika hapa. 1kg kwa 10,000)
TingaTinga - Opposite Golden crest hotel. (Wana style tofauti za upishi hawa jamaa. Mara makange.. mara roast.. mara kavu. 1kg ni 12,000)
Kill time bar - Mianzini kituo cha pili. (Kitimoto choma ya express. Yaani ukiagiza dk 5 mzigo uko mezani na kachumbari ya kutosha. 1kg for 10,000)
Kuna chimbo zingine worth mentioning.
Apache Bar - Sekei bustanini.
Njooy lounge - Sakina Silent inn.
Phillips mataa baada ya yard ya magari, kuna ki setting kidogo cha kuuza pork. Wako vizuri.
Kule hawajui kutengeneza huyu mnyamaKwa Vwawa mbozi kuna sehemu inaitwa sosoliso hakika naimiss sana vamponji ya hapo
Unajipigia promo. Sema sijala kitimoto nina mwaka na zaidi.Shamba BBQ- Njiro 🔥