jamaaa atakuwa ameunganisha buku, hana ajira ndio anataka kufanya ujasiriasiasa, tutakuwa wengi sana 2015, umewahi sana kujitangaza wenzako bado tupo underground, tunazichanga kimyakimya
Ndugu Candid Scope samahani kwa kukuambia ukweli huu, unatujitumikisha vibaya hujui na ufahamu kwamba jamii yetu ya sasa hivi ni waelewa sana na hatudanganyiki kwa cheap politics ambazo zimekuteka nyara,any way sijui unalipwa sh ngapi,tafadhali sana na wewe usije kuwa ni kati ya wale wachache...
Nadhani ingekuwa busara kwa yeye kutmka kwamba atashauri chama chake chenye wabunge wengi waibadilishe hiyo sheria kwanza kabla ya kukurupuka kukemea hao viongozi wasiitwe hivyo kwa sababu kuitwa hivyo ni haki yao kisheria. huyo mzee amekurupuka akiri tu kwamba amepotoka. ndg yangu candid scope...
amekurupuka kutoa hiyo kauli yake, suala la kuitwa muheshimiwa lipo kisheria kuna sheria ilitungwa nitaitafuta na kuiweka hapa ambayo inaitwa The Honourable Act, sheria hii inakama page moja hivi na inatamka kwamba majaji wote na mahakimu wa ngazi zote wataitwa waheshimiwa,viongozi wote wa...
Lets call a spade aspade and not a spade a spoon. ni kweli Mzee Mbeki alifiwa na mtoto wake aliyefariki kwa Ugonjwa wa Ukimwi ambao kwa mtazamo ma Mzee Mbeki kwamba ugonjwa huo unasababishwa na umasikini na sio virusi vya ukimwa. Sasa mbona mtoto wake ambaye alikuwa tajiri alikufa kwa ukimwi...
Hoa wakeleketwa wajasiliamali wachovyu kweli? Wanamuita Nape Mhe, wapi na wapi. Na huyo katibu mkuu wa chama naye kachemka kweli kweli kukataza viongozi wa chama cha magamba wasiitwe waheshimiwa eti waitwe ndg. Sijui hajui kwamba kuitwa Mheshimiwa ni Suala la kisheria, Kwa mujibu wa sheria hiyo...
Mimi naishi Mvumiii Makulu Dodoma kwa sasa sitegemei kwenda huko USA na nina miaka 31 na ni kijana na ninajitambua hivyo. Ninasema hawa watu wa sampuli hii ya akina Wiliam Malecela na wewe wenye mtazamo huo wa kwamba huko USA miaka 50 bado ni vijana, ni watu potofu, hivi kwani katiba ya uvccm...
Ninamsoma sana mkumbo na bahati mzuri namuelewaga sana. Kwa kumuuliza swali hilo Mbeki ambalo kusema kweli alistahili kwa mtazamo wake kwamba ugonjwa wa Ukimwi unasababishwa na umaskini. Sasa kitila alitaka kujua kama msimamo wake unaendelea hivyo kufuatia kifo cha mtoto wake,ambaye kwa...
hadi hapa hakuna hata mmoja aliyekuunga mkono Wiliam, ona jinsi chama chako kilivyodhaifu sana kwenye mitandao
hoja yako haijatetewa kabisa sanasana naona imepingwa hadi na mwanaccm mwenzako.
Kwa kifupi nawashauri vijana wenzangu wengine tuachane na ccm kijifie chenyewe na wazee wake kama akina...
hizi kazi mbona zilitangazwa hapa hapa jamiiforums,
ngoja tukumbushane na mimi nilishazionaga
embu chekini hiyo page
https://www.jamiiforums.com/nafasi-za-kazi-na-tenda/356673-kwa-hotelia-yeyote-na-anayependa-kafanya-kazi-ya-hotel-porini.html
Waziri wake Mkuchika nae anakurupuka eti wenye majina wa watz wenye akaunti nje wampelekee. hivi mzee wa vijisenti si alikiri kabisa kwamba yeye anavijisenti mbona hawajamfanya chochote. waache usanii wao
huyu mzee si alisema nachana na siasa ,du kweli ashibaye hamkumbuki mwenye njaa, halfu ile kamapuni yake ya clearing and forwarding iliyosafirisha meno ya tembo ambayo yalikamatwa hongkong kesi yake imeishia wapi? manake na juzi imekamatwa shehena nyingine ya meno ya tembo hukohuko hongkong...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.