Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Habari waungwana?, jamani mimi nina nia ya kugombea ubunge jimbo la Ismani ili kuleta ukombozi kwa wanajimbo wenzangu. Kiufupi mimi ni mzaliwa na mkazi wa Pawaga,nkiumri nina miaka 29 na elimu ya masters niliyohitimu mwaka 2011. Ni mfuasi na mwanachama wa CHADEMA (mwenye kadi ya chama) toka mwaka 2005.
Nahitaji kugombea ubunge mwaka 2015 hivyo naomba wajuzi wanijuze jinsi na wapi nianze maandalizi yangu kujunuisha gharama na vitu muhimu ambavyo vitanisaidia mimi kushinda jimboni. Kati ya tarafa tatu za jimbo, mbili nina ushawishi kwa vijana na wazee na ninafahamika vya kutosha.
Nakaribisha michango na mawazo yenu
Nahitaji kugombea ubunge mwaka 2015 hivyo naomba wajuzi wanijuze jinsi na wapi nianze maandalizi yangu kujunuisha gharama na vitu muhimu ambavyo vitanisaidia mimi kushinda jimboni. Kati ya tarafa tatu za jimbo, mbili nina ushawishi kwa vijana na wazee na ninafahamika vya kutosha.
Nakaribisha michango na mawazo yenu