Recent content by Dsangoa

  1. Dsangoa

    Kilichotokea baada ya kuwaweka kuku rangi

    [emoji23][emoji23]dah nimejikuta nacheka mwenyewe we jamaa ni shidaaa
  2. Dsangoa

    Mzee wangu ananiambia Choo cha ndani Haramu, wakati mi ndicho nakitaka, nifanyeje?

    Ok kumbe shida ni kutoka na Panga tu kwa nini usiache panga nje wakati unatoka utalikuta nje?[emoji41][emoji41]
  3. Dsangoa

    Gazeti la Nipashe limepotosha vikali

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
  4. Dsangoa

    Ilianza Zimbabwe sasa Tanzania inafuatia

    Wapi propesa muhongi kama muongo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  5. Dsangoa

    TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

    Hela siyo kila kitu mzee unaweza kuwa na dollar na ukashinda njaa hivi baada ya kupata pesa tunahitaji nini? Mimi sijui ndo maana nauliza kwa sababu najua badala ya kunijibu utaniliza tena hili swali
  6. Dsangoa

    Mpenzi wangu kanicheat mara mbili na wanaume wawili tofauti, Inaniuma sana

    I remember the day I called mama on the telephone I told her mama I'm getting married I could hear her voice on the other side of the telephone she was smiling And she asked me a question that I proudly answered She said son did you take time to know her I said mama she's the best But today it...
  7. Dsangoa

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    Nadhani akipata wa mbali na ofisin atakuwa malaika si unajua malaika hawaonekana bwashee na wanakaa mbali?
Back
Top Bottom