Mungu yupo kabisa...hebu jaribu kuangalia ukuaji wa kila kiumbe...tokea upo tumboni,unapozaliwa mpaka unapozeeka. kuna nguvu inayosukuma hivyo vitu kutokea si bure .
Choonaa...doctor stranger ni jipuu...hata inavyomalizika tu..baba hivi yule mchiz wa binchum manual(dance in the sky)...alipiga ule mzigo tuu au kuna mingine
Kama kaanza hizo mixhe akiwa mjamzito...mfikirie huenda ujauzito wake ukawa ndo source...kama ndo alivyo pasi na ujauzito Huyo ni wa kutemana nae hana maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.