Mpenzi wangu anatafuna meno usingizini

Mpenzi wangu anatafuna meno usingizini

Hii hata mie huwa inanitokea Mara moja moja sana... Ni kawaida tu kama kukoroma..
 
Natumaini ni wazima,

Nina mpenzi wangu ni mzuri tuu ila usiku ndiyo ananiogopesha sana. Kuna siku aliomba kuja kulala kwangu mie nikamkubali ila cha kushangaza usiku wa manane nikashituka nikakuta anatafuna meno. Yaani kama kuna vitu anatafuna hivi na meno yanakuwa yanakuwa yanatoa sauti tu.

Sasa nilikuwa naomba mwenye tiba au mwenye kujua njia ya kuyazuia au kuzuia hii tabia maana hadi saizi naogopa sana kulala naye tena na nilitest mara tatu nikagundua ndivyo alivyo.

Msaada tafadhali
perhaps atakua mfuasi wa miraa
 
Kuna mambo ya kuvumiliana kwenye mahusiano,mojawapo ndo hilo,so dont take it seriously as long as it does not affect you
 
Mlambishe pilipili kichaa ni dawa nzuri... atapona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom