Niliwahi kusema, kosa kubwa alilofanya Mungu ni kuwaumba waafrika

Kwa hakika tuko tofauti, hili halina ubishi. Nimeishi na watu kutoka mabara yote (Europe, Asia, America, Latin America, Australia na Afrika). Nimejiridhisha kwa asilimia 200 shida ipo kidogo kwa hii ngozi yetu regardless anaishi wapi na ana elimu gani.
Ila kuna kaukweli fulani....mfano lipumba ni professor lkn angalia anachofanya......Kusema wazungu wameturoga hapana
 
Serikali imetoa uamuzi kuhusu sakata husika:bila vyeti halali hakuna kazi.
Kutetea uovu na waovu ni upotevu wa rasilimali muda na fedha.Kadhalika,kutetea dhuluma ni ouvu,ni ujuha,ni ufedhuli.
Wapenda haki na usawa tunangoja awamu ya pili na tatu za orodha za watu wenye vyeti feki.
Baada ya hapo,wenye sifa watachukua nafasi zao.Raia makini tunaelewa umuhimu wa zoezi husika.Raia wababaishaji hawawezi kukubali na kuelewa hilo,kwa maana,kwao elimu si kitu cha maana.
 
Ila kuna kaukweli fulani....mfano lipumba ni professor lkn angalia anachofanya......Kusema wazungu wameturoga hapana
Hawajaturoga mkuu. Wazungu wenyewe wamechoka na hawatuelewi. Msaada wanaotupa ndio huohuo waliowapa nchi nyingine za Asia na Latin, lakini wao wana progress nzuri kuliko sisi. Lipumba amesoma Stanford University. Hii ni top University in the World. Lakini madudu anayofanya hata mtoto wa vidudu hafanyi. Huwezi kukuta Professor mweupe wa Stanford akafanya mambo kama Lipumba. Hadi muda huu angekuwa ameandika vitabu zaidi ya 50. Shida ipo.
 
Very strange.
Yawezekana kweli watu weusi hutajaelewa maana ya vyeti au hasara ya sasa na vizazi vijavyo kama tutaruhusu watu kufoji vyeti na raia waseme poa tu!! Hii thread yazidi kuonyesha upeo wetu, zile nchi zilizoendelea wafikiri wangewaruhusu hawa waliofoji vyetu kuendelea na kazi tu?! Sidhani, tena wangeshtakiwa kwa kudanganya aise...
 
Very strange, watu wasiokuwa na kazi wanashangilia watu kufukuzwa kazi, they are quite happy! celebrating! Niliwahi kusema kuwa kosa kubwa alilofanya Mungu ni kuwaumba waafrika. Niliwahi kusema Tanzania ingeliumbwa upya na viumbe wapya.

Utashangiliaje mateso ya mwenzako? Pamoja na makosa ya kufoji, huruma na utu tuwe navyo! Ndiyo maana wanaharakati wanapigana adhabu ya kifo iondolewa, kutetea utu pamoja na kuwa mhusika aliua.
Hii mambo omba sana isikukute inafedhehesha mno yaani sasa na fumanizi. Sio Huruma tu ni muhimu kuappreciate jitihada na jasho LA ndugu hawa kwani haohao waliokoa wengine wasife,waliwafanyia usaili watu wakapata kazi,yaani ni mengi mengi
 
Yawezekana kweli watu weusi hutajaelewa maana ya vyeti au hasara ya sasa na vizazi vijavyo kama tutaruhusu watu kufoji vyeti na raia waseme poa tu!! Hii thread yazidi kuonyesha upeo wetu, zile nchi zilizoendelea wafikiri wangewaruhusu hawa waliofoji vyetu kuendelea na kazi tu?! Sidhani, tena wangeshtakiwa kwa kudanganya aise...
Sijasema waendelee kazini. Hapana, huwezi kuwaweka kazini na vyeti vya kufoji! Soma andiko langu. Kuna namna wangelitolewa kazini, not that much unceremoniously! Pili watu kushangilia kwa vile wewe huna kazi mmeogezeka, umepata wenzako!
 
Serikali imetoa uamuzi kuhusu sakata husika:bila vyeti halali hakuna kazi.
Kutetea uovu na waovu ni upotevu wa rasilimali muda na fedha.Kadhalika,kutetea dhuluma ni ouvu,ni ujuha,ni ufedhuli.
Wapenda haki na usawa tunangoja awamu ya pili na tatu za orodha za watu wenye vyeti feki.
Baada ya hapo,wenye sifa watachukua nafasi zao.Raia makini tunaelewa umuhimu wa zoezi husika.Raia wababaishaji hawawezi kukubali na kuelewa hilo,kwa maana,kwao elimu si kitu cha maana.
Sijatetea vyeti fake, soma andiko langu!
 
pumbsvu.wewe unasema MUNGU alikosea?kwa hiyobwewe ni nani? wewe ni lusifa?maana ndiye pekee ktk ardhi na mbingu,anaemkosoaga MUNGU.basi naona wewe u zaidi ya MUNGU.sasa maadam mdomo wako umetamka kuwa MUNGU kakosea basi yeye MUNGU amekusikia.atakuomba msamaha.then atafanya unavotaka wewe.kwa kutuondoa waafrika wote duniani ili ubaki wewe albino na wazungu.
 
MAON YANGU ME KWEL SAKATA LA KUFOJI VYET NI KOSA LA KISHERIA AMBALO NI MADHARA KW SERIKALI NA WATU WAKE KWAN HUDHOOFISHA NCHI NA MADHALA MBALIMBALI AMBAPO ATA WENYE SIFA UKOSA NAFAS HIZO NA KUJIKUTA WANAANGAIKA MTAANI,NA MFUMO WA AWALI WA SERIKALI NDO UMESABABISHA HAYA YAWEPO MAKOSA KW SERIKALI NA WALIOFOJI VYET PENDOKEZO LANGU NINGEOMBA WANANCH TUUNGANE KWA KUWATETEA KUCHUKULIWA ATUA NZUR ILI WAWEZE KUENDELEA NA MAISHA MENGINE KWAN HAWA BINAADAM NDUGU ZETU KWKUWA MUNGU ANASAMEHE NA SERIKALI WAWASAMEHE NA KUCHUKUA TARATIBU ZITAZOWAPA HUAFADHARI.AHSANTEN
 
Very strange, watu wasiokuwa na kazi wanashangilia watu kufukuzwa kazi, they are quite happy! celebrating! Niliwahi kusema kuwa kosa kubwa alilofanya Mungu ni kuwaumba waafrika. Niliwahi kusema Tanzania ingeliumbwa upya na viumbe wapya.

Utashangiliaje mateso ya mwenzako? Pamoja na makosa ya kufoji, huruma na utu tuwe navyo! Ndiyo maana wanaharakati wanapigana adhabu ya kifo iondolewa, kutetea utu pamoja na kuwa mhusika aliua.
Hapana inawezekana kukuumba wewe hapo ndiyo kosa kubwa.
Haijawahi kutokea mahali popote watu wote wakafikiri sawa.
Hata hao wenzetu nao wanapingana ndiyo maana kuna wanaomuunga mkono trump na kuna wanaompinga, kuna waliounga mkono kuivamoa iraq na kuna waliopinga.
Mawazo ya watu wote yakifanana living wont be exciting mnakuwa kama mazombie
 
Itakua hawafamu kua hao walokua wafanyakaz ndo wanafanya pesa iingie kwenye mzunguko na wao pamoja na familia zao wapishane kwenda toilet, hayo yote ni kwasababu ya kukosa elimu, ndomana kuna mtu mmoja vipaumbele vyake vilikua elimu, elimu na elimu, coz mtu akiwa hana elimu haelew chochote,. hata ukimpa million kumi haitamsaidia in long run coz hajakombolewa kifikra, sasa hao washangiliaji hawana uelewa huo, kwamba watu wakiwa makazin na wao wanapata rizki huko mtaani.

Biblia inasema ''watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa'' pia inasema ''mshike sana elimu, usimwache aende zake''
Na ww umo nn mana si kwa povu hili,hebu tuliza mshono kidogo
 
Hata Mwenyezi Mungu ametukataza kuwa na ' huruma ' kwa Watu waongo. Ungejua ' negative imapact ' hasa ya Kimaendeleo kwa kuwepo kwa hao ' Wapuuzi ' Team 9,932 nchini Tanzania na hasa huko Serikalini kamwe usingekuja humu JF na ' kuwashangaa ' Watu wanaofurahia wao ' kunyooshwa ' hivyo na Rais Dkt. JPM.

Kwa huu uwezo wako mdogo wa ' kufikiri ' na ' kuelewa ' mambo nakubaliana kabisa nawe tena kwa 100% kuwa Mwenyezi Mungu alikosea sana ' kutuumba ' sisi Waafrika. Tena naongezea hapo hapo kwa kusema kuwa nadhani Rais wetu Dkt. Magufuli ni mpole sana ila ingetokea Mimi GENTAMYCINE ndiyo Rais wenu ama hakika leo Watanzania wengi tungekuwa safarini kupeleka Misiba Mikoani na wengine sasa tupo Makaburini tunachimba Makaburi kwani ningeamuru Wote ' wanyongelewe ' mbali.

Acheni kutetea ' upuuzi ' na tujifunze kufuata taratibu na sheria ambazo tumejiwekea wenyewe na tuache kuishi kwa ' janja janja ' na tusipende mno ' Kitonga ' katika kufanikisha malengo yetu ya Kimaisha huku ukiwaumiza wengine ambao ndiyo wana haki na waliteseka kusoma na kuwa na hizo Elimu zao.

Tutanyooka tu akhsante sana Rais wangu mpendwa Dkt. Magufuli endelea ' kutunyoosha ' tu Baba.
Kama Mao ze dong
 
Hujui wanaoshangilia ni akina nani? Ni wale ambao walikuwa na sifa lakini hawakupewa hizo nafasi.Hilo kundi la wafoji vyeti limewatia umaskini watu wenye sifa ambao wao na familia zao wanaishi kwa shida wakati hali ilitakiwa isiwe hivyo.wenye sifa wanakufa maskini matapeli wa vyeti wanapeta wakila na kulala vizuri.Hilo hata MUNGU hapendi wamemnkosea hadi Mungu kwa kumkosea na kuwakosesha wengine riziki halali ambazo wangezipata kwa vyeti vyao halali.
Shida mliyonayo ni kufikiri kuajiriwa badala ya kutafuta kujiajili ivi kweli msomi mwenye upeo kweli utafurahia nesi afukuzwe uende wewe,ufai ata kuajiliwa kama ulikuwa unasubiri haya
 
Kitu ambacho sijasikia au kukiona katika sakata hili la kuforge vyeti ni sababu iliyofanya watu wafanye hivyo lakini niseme tu ni mfumo.Viongozi wengi hasa mawaziri n.a. wa bunge ghafla walianza kuitwa Drs na Professors from nowhere n.a. watu walipohoji hakuna aliyetoa jibu. Nakumbuka yupo msomi mmoja aliandika kitabu akihoji hili n.a. taifa na mamlaka za ajira zilibaki kimya jamii ikaona/ikajifunzia kwa viongozi n.a. matokeo ndiyo haya. Kila mtu aliyeiona loopehole hii aliitumia maana walianza wakubwa hata leo including mwenye nyumba veti vyao vinatiliwa mashaka. Mwambieni mkubwa katiba n.a. sheria za nchi n.a. chombo huru cha mahakama ndiyo solution ya kudumu. Aache mahakama huru imshuhulike Bashite ili liwe fundisho ikiwa itadhibitishwa kagushi vyeti kuwafukuza waliogushi is a temporary solution maana hakuna asiyetaka kula.
 
Sijatetea vyeti fake, soma andiko langu!

Hujatetea uovu?Kabisa?
Kama sivyo,hukujua ulichokusudia kuwasilisha.Ulipaswa kuonyesha masikitiko yako kuhusu mienendo,tabia na hulka za Kiafrika kwa kuweka maelezo yenye mantiki kwa hoja za kweli na zenye kueleweka huku zikiambatana na mifano.Vinginevyo hoja yako dhidi yetu watu wausi imekosa nguvu.
 
Back
Top Bottom