Unaota ,tumechoka kuona watu wanatufia mikononi mwetu huku hatuwezi kufanya lolote kisa vifaa,ukiambiwa katupigie ct-scan regency unadhani sie tuna ubia na hao private,ukianbiwa kwenye echo,na ecg watu ni wengi njoo mwezi ujao unadhani unatengenezewa zengwe la wewe kutoa rushwa ,ukiambiwa icu...