Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Dada majebere kuna vyombo vya kuosha hukuNdio Slaa anataka hivyo lakini watanzania wameshatambua hilo, 2015 mkipata wabunge watano mshukuru mungu.
Last edited by a moderator:
Dada majebere kuna vyombo vya kuosha hukuNdio Slaa anataka hivyo lakini watanzania wameshatambua hilo, 2015 mkipata wabunge watano mshukuru mungu.
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Hivi bwana swai una ndoto za chadema kushinda urais?? Kuwa mkweli huwezi kutegemea ukoo mmoja usambae nchi nzima na kupewa nchi. Kighoma wameshasema hawachezi tena midundiko ya wapinzani wanataka uongozi si kupewa viroba orijino kurushia watu mawe
Ndio Slaa anataka hivyo lakini watanzania wameshatambua hilo, 2015 mkipata wabunge watano mshukuru mungu.
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Kasema ukweli kutoka moyoni mwake kazi kwenu kujipanga. Yeye na wenzake wanajipanga kuhakikisha CCM inakabidhiwa nchi 2015... na keshawaambia sasa sijui tufanye nini isiwe hivyo...
acha kuwachokoza chadema.wataanza midadi buree.kauli hii imetolewa na jk mjini kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya ccm....
"nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa ccm na si vinginevyo"!
Kama rais wa nchi, salaam hizi maana yake nini?!!
Ahsante sana maushahidi ya kumpeleka HAGUE list number 126 in my list! what about yours Jf membersKauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!
Kauli hii imetolewa na JK mjini Kigoma wakati wa sherehe za miaka 36 ya CCM....
"Nitahakikisha nina kabidhi nchi kwa mgombea wa CCM na si vinginevyo"!
KAMA RAIS WA NCHI, SALAAM HIZI MAANA YAKE NINI?!!