Nan kakwambia JK anashida na ninyi waTz jiokoe mwenyewe nchi hii imejaa majogoo ya kuazima! yanapelekwa nje na kuwazalishia wengine tu,,,,Ha ha ha jk atasimulia hii haijawahi kutokea
Nchi masikini ya pili kutoka chini na bado tunamuda kibao wa kugoma huku tunataka tuendelee, Labda mbingu zishuke ndo bongo itaendelea.
Ni kweli kuwa mishahara ya wafanyakazi walio wengi ni midogo sana kumudu mahitaji muhimu ya binadamu. Lakini tuangalie chanzo ni nini? how can we move forward? je kulalamika kwenye mitandao is a solution? kwa nini tusiombe jukwaa tukayazungumza wakiwepo watendaji wakuu wa serikali? tujaribu kuangalia njia mbadala ya kurekebisha hali. Mawazo yetu yatasaidia. Lakini kwa halli ya sasa ilivyo ya uchumi mishahara mikubwa haitawezekana na huo ndio ukweli. Ingawaje vitu vinaweza kufanyika mambo yakawa mazuri. PIa tusipende ku generalize issues. Sio wote walioko CCM ni wabaya na sio wote walioko upinzani ni wazuri huo ndio ukweli. Watanzania bado tuna ubinafsi mkubwa na hiyo inachangiwa na sera za nchi yetu.
Majukwaa, mikutano na watendaji, kamati huru, havijawahi kusaidia/kufanyiwa kazi toka uhuru. eg. Ripoti ya Warioba na machimbuko ya Rushwa, Ripoti ya kamati ya madini, ripoti ya kuchunguza mishahara ya --- crazy!!!!!!!!! Tugome tu basi.Ni kweli kuwa mishahara ya wafanyakazi walio wengi ni midogo sana kumudu mahitaji muhimu ya binadamu. Lakini tuangalie chanzo ni nini? how can we move forward? je kulalamika kwenye mitandao is a solution? kwa nini tusiombe jukwaa tukayazungumza wakiwepo watendaji wakuu wa serikali? tujaribu kuangalia njia mbadala ya kurekebisha hali. Mawazo yetu yatasaidia. Lakini kwa halli ya sasa ilivyo ya uchumi mishahara mikubwa haitawezekana na huo ndio ukweli. Ingawaje vitu vinaweza kufanyika mambo yakawa mazuri. PIa tusipende ku generalize issues. Sio wote walioko CCM ni wabaya na sio wote walioko upinzani ni wazuri huo ndio ukweli. Watanzania bado tuna ubinafsi mkubwa na hiyo inachangiwa na sera za nchi yetu.
Nchi masikini ya pili kutoka chini na bado tunamuda kibao wa kugoma huku tunataka tuendelee, Labda mbingu zishuke ndo bongo itaendelea.
Ni kweli kuwa mishahara ya wafanyakazi walio wengi ni midogo sana kumudu mahitaji muhimu ya binadamu. Lakini tuangalie chanzo ni nini? how can we move forward? je kulalamika kwenye mitandao is a solution? kwa nini tusiombe jukwaa tukayazungumza wakiwepo watendaji wakuu wa serikali? tujaribu kuangalia njia mbadala ya kurekebisha hali. Mawazo yetu yatasaidia. Lakini kwa halli ya sasa ilivyo ya uchumi mishahara mikubwa haitawezekana na huo ndio ukweli. Ingawaje vitu vinaweza kufanyika mambo yakawa mazuri. PIa tusipende ku generalize issues. Sio wote walioko CCM ni wabaya na sio wote walioko upinzani ni wazuri huo ndio ukweli. Watanzania bado tuna ubinafsi mkubwa na hiyo inachangiwa na sera za nchi yetu.
Ingependeza zaidi kama ungesema hivi;Nchi masikini ya pili kutoka chini na bado tunamuda kibao wa kugoma huku tunataka tuendelee, Labda mbingu zishuke ndo bongo itaendelea.
Nan kakwambia JK anashida na ninyi waTz jiokoe mwenyewe nchi hii imejaa majogoo ya kuazima! yanapelekwa nje na kuwazalishia wengine tu,,,,