Recent content by Doyi

  1. Doyi

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Uhakika ya Kupunguza Uzito Bajeti Ipo, Sitaki Msaada wa Bure

    Yani unaingia kwenye reli na kutoka mkuu,una nia ya dhati ya kupunguza uzito lakini hutak kupunguza kula,mmmhh??? Sasa ungeweka pia vyakula unavyokula sana ni aina gan tungeweza kukushauri jambo,labda kwa uchache punguza machapat chapati asubuh kula mayai ya kuchemsha,mboga mboga,nyama...
  2. Doyi

    JamiiForums Tanzania Mkwara wa Marekani: Eti Samia Suluhu anataka kumwaga Manyanga

    Aiseee
  3. Doyi

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Daahh mada zenye akili hizi bahat mbaya vijana wanafurahia habar za wasaniii tu na mipira
  4. Doyi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

    Wanasema inaitwa SHOOT TO KILL bro😅
  5. Doyi

    JamiiForums Tanzania KERO Tajiri wa gari za Loliondo kuwa serious na service ya gari zako

    Haya tajiri ushauri Nitaufanyia kazi
  6. Doyi

    JamiiForums Tanzania KERO Tajiri wa gari za Loliondo kuwa serious na service ya gari zako

    Abiria tunatoka kanda ya ziwa kuelekea Arusha na Moshi tumekwama hapa Shinyanga gari imekatika spring T646 EKS ya kutoka Tarime kwenda Moshi so tupo kwa mafundi wa kilocal wanachomelea hizo spring tangu saa nne na sasa ni saa tisa usiku. Unaenda kuua jina la biashara yako uliojenga kwa muda...
  7. Doyi

    JamiiForums Tanzania Hii ndio Tiba ya Ngiri/Hernia kupitia Dawa za kihindi

    Safi mkuu
  8. Doyi

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kuelewa tukio hili ambalo nimekutana nao

    Wamemtoa msukule au
  9. Doyi

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Telaviv wapewa masaa 24 ya kuhama

    Aisee
  10. Doyi

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Bima ya Afya kwa Wote kuanza na kaya zisizo na uwezo

    Lucas Mwashambwa kwenye Id nyingine
  11. Doyi

    JamiiForums Tanzania Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Sijajua chuo gani kizuri kwa course za computer mana mie chuo nilimaliza imepita miaka 20 sasa na mambo mengi yamebadilika,hizo course kama AI ni subcourse ndani ya hyo CS,zingine nje ya hapo ni kujiongeza private pembeni kama ulivosema.kuhusu soko la ajira hapo sasa ndo kigugumizi kinaanza na...
  12. Doyi

    JamiiForums Tanzania Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma...
Back
Top Bottom