Recent content by Doyi

  1. Doyi

    Mchengerwa: Bima ya Afya kwa Wote kuanza na kaya zisizo na uwezo

    Lucas Mwashambwa kwenye Id nyingine
  2. Doyi

    Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Sijajua chuo gani kizuri kwa course za computer mana mie chuo nilimaliza imepita miaka 20 sasa na mambo mengi yamebadilika,hizo course kama AI ni subcourse ndani ya hyo CS,zingine nje ya hapo ni kujiongeza private pembeni kama ulivosema.kuhusu soko la ajira hapo sasa ndo kigugumizi kinaanza na...
  3. Doyi

    Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma...
  4. Doyi

    Nahitaji dawa nzuri ya kusisimua misuli ya uume kusimama mda mrefu bila kumwaga inayopatikana Pharmacy

    Jitibu ngiri mkuu,wala huna shida ya nguvu za kiume,wanaume wengi tunasumbuliwa na ngira tunadhani ni shida ya libido,alafu usitafute dawa za kusisimua misuli,tafta dawa za kuparlyse misuli,yaani uume usihizi kama umeingia kwa uke,nenda sinza mapambano hispitali ya wachina waambie wakupe vidonge...
  5. Doyi

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Ni pm nashindwa kukutext
  6. Doyi

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Nimemtumia dalali hapa mwanza ni mtu mzima mwaminifu tu kanipatia wawili huku kanda ya ziwa...ukiwa ready nikutumie namba zake...hana shida ni mtu poa sana...utampa kaposho amount utakayojiskia wewe baada ya kufikishiwa mtu
  7. Doyi

    Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Seran hyo kampuni ya salasala inayohitaj madereva washapata watu? Kuna mtu yupo tayar ila alichelewa kupata taarifa na kuliona tangazo
Back
Top Bottom