Yani unaingia kwenye reli na kutoka mkuu,una nia ya dhati ya kupunguza uzito lakini hutak kupunguza kula,mmmhh??? Sasa ungeweka pia vyakula unavyokula sana ni aina gan tungeweza kukushauri jambo,labda kwa uchache punguza machapat chapati asubuh kula mayai ya kuchemsha,mboga mboga,nyama...
Abiria tunatoka kanda ya ziwa kuelekea Arusha na Moshi tumekwama hapa Shinyanga gari imekatika spring T646 EKS ya kutoka Tarime kwenda Moshi so tupo kwa mafundi wa kilocal wanachomelea hizo spring tangu saa nne na sasa ni saa tisa usiku.
Unaenda kuua jina la biashara yako uliojenga kwa muda...
Sijajua chuo gani kizuri kwa course za computer mana mie chuo nilimaliza imepita miaka 20 sasa na mambo mengi yamebadilika,hizo course kama AI ni subcourse ndani ya hyo CS,zingine nje ya hapo ni kujiongeza private pembeni kama ulivosema.kuhusu soko la ajira hapo sasa ndo kigugumizi kinaanza na...
Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.