Sijajua chuo gani kizuri kwa course za computer mana mie chuo nilimaliza imepita miaka 20 sasa na mambo mengi yamebadilika,hizo course kama AI ni subcourse ndani ya hyo CS,zingine nje ya hapo ni kujiongeza private pembeni kama ulivosema.kuhusu soko la ajira hapo sasa ndo kigugumizi kinaanza na...
Nilivyokusoma weww umeomba ushauri huku tayar una majibu yako(samahani lakini) ,alafu pia ni kama umefocus kujua anapata mkopo au la,nikwambie ukweli tu mambo ya mkopo ni mambo ya temporary mnooo...hayazid hata miaka 3 kutoka sasa,hata akipata mkopo 100% je future yake ipoje?? Mie nimesoma...
Jitibu ngiri mkuu,wala huna shida ya nguvu za kiume,wanaume wengi tunasumbuliwa na ngira tunadhani ni shida ya libido,alafu usitafute dawa za kusisimua misuli,tafta dawa za kuparlyse misuli,yaani uume usihizi kama umeingia kwa uke,nenda sinza mapambano hispitali ya wachina waambie wakupe vidonge...
Nimemtumia dalali hapa mwanza ni mtu mzima mwaminifu tu kanipatia wawili huku kanda ya ziwa...ukiwa ready nikutumie namba zake...hana shida ni mtu poa sana...utampa kaposho amount utakayojiskia wewe baada ya kufikishiwa mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.