Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,600
- 27,218
Ok!
😀 Hii nimeipenda na kuna sehemu nitakuja kuitumia.Kuna maboss dereva akija kuchukua gari anatoa kwanza pesa ya hesabu ndo akafanye kazi.
😂😂 Sijajua wanatumia vigezo gani, ila hii nimeshuhudia kuna kampuni unaacha laki 5 mezani, ndo unatoka na gari.😀 Hii nimeipenda na kuna sehemu nitakuja kuitumia.
Lakini vipi ikitokea dereva kakupa hela ya hesabu halafu kaenda kufosi akakosa kazi???
Si anaweza kufungua vifaa auze spea?
Nitajie biashara yenye faida kubwa ambayo unashauri watu waifanyeNyumba za kupangisha nazo ni biashara miyeyusho tu japo risk ni ndogo ila hilo lori mtaji mkubwa risk kubwa mapato kidogo hatari
Shukran sana mkuuNikutie moyo ndugu,ninayo mawili, nunua mpya kabisa,@170ml, zero km,
Gari hizi huja kulegea baada ya miaka 3-4.
Mpaka kulegea,huwa imeshajilipa vizuri sana na unakula faida au unaelekeza fedha UTT AMIS.
BAADA YA MIAKA MITANO IUZE 70ML
CHUKUWA MPYA,NDIYO KAZI HII ILIVYO MKUU.TAMU SANA.
Note to forget;- comprehesive insurance ambayo huwa ni 10ml.
Always uko supportiveHesabu ni laki 5 au 6 kwa siku. Changamoto ni madereva,kuna kipindi kazi zinapungua,njia mbovu, ufuatiliaji wa karibu. Gari ukichukua mpya miezi 6 ya mwanzo service ni ndogo za kawaida baada ya hapo andaa bajeti ya dharura muda wowote unaweza pata simu ya spare au marekebisho. Kama una long term plan ajiri mafundi wawili au upate gereji ya kuaminika kwa ajili ya service.
Biashara ndivyo zilivyo, ina maana ukifanikiwa kufanya kazi miaka miwili unavuta nyingineBiashara kichaa investment kubwa sana return ndogo say manunuzi 186mil mapato 550k/day
%Marejesho ya mtaji ni =500k/186mil=0.27% yaani kwa siku una recover 0.27% ya hela uliyoweka, ni hatari, hata 1% haijafika
Baada ya miaka 4, uza,nunua mpya!Biashara ndivyo zilivyo, ina maana ukifanikiwa kufanya kazi miaka miwili unavuta nyingine
Jinsi nilivyoanza:-Watanzania maskin wana mawazo ya kimaskini na wote ni maskini wanazid kuambukizana mawazo ya kimaskin ni hatar sana
Miaka 2 sio kweli labda 3yrsBiashara ndivyo zilivyo, ina maana ukifanikiwa kufanya kazi miaka miwili unavuta nyingine
inahitaji kamda kidogo ila biashara ya matipa itafaa pale kama hayo matipa pia yana support biashara zako zingine zinazoingiliana na shughuli za tipa, mf kama we ni mkandarasi au unaviwanda vya tofali etc, ila kufanya biashara hiyo iwe inaingiza hela as core bussiness itakataaNitajie biashara yenye faida kubwa ambayo unashauri watu waifanye
Nimekuuliza ni biashara ipi unashauri watu waifanye yenye mtaji mkubwa na faida kubwa sana?inahitaji kamda kidogo ila biashara ya matipa itafaa pale kama hayo matipa pia yana support biashara zako zingine zinazoingiliana na shughuli za tipa, mf kama we ni mkandarasi au unaviwanda vya tofali etc, ila kufanya biashara hiyo iwe inaingiza hela as core bussiness itakataa
Miaka miwili unavuta nyingine,/ HAKIKAMiaka 2 sio kweli labda 3yrs
Unamachimbo wapi?Biashara nzuri. Nahitaji hata la mkopo. Nipo kwenye sekta hii. Namiliki chimbo. Naomba Wana wanavtotusua.
Kuna mmoja alidiriki kuuza nyumba yake kisha akanunua howo.
Anakimbiza mbaya.
Mwingine mzee mstaafu pesa ya penshen kaitupia huku. Anakaa kushoto siku zote.
Kifupi inalipa sana wewe mwenyewe ukiwemo.
Ukimpatia dereva unalinja 500,000/day.
Ukikomaa na dereva haijalishi umepiga route ngapi unamwachia 50,000.
Kibunda chote chako.
Sometimes kwenye maisha unatakiwa ku scarify!..to lives better! At least!..(uza asset moja worryout) hizo kwa kuzitamka ni nyingi lakini huwa si nyingi kivile!,...MI sina ushauri ila we jamaa inaonekana una hela sana
Tipper zina kazi kweli wakati huu wa migodi,hata ukipeleka,mchuchuma ni fedha tu.(Mchuchuma -->>bandari ya mtwara)inahitaji kamda kidogo ila biashara ya matipa itafaa pale kama hayo matipa pia yana support biashara zako zingine zinazoingiliana na shughuli za tipa, mf kama we ni mkandarasi au unaviwanda vya tofali etc, ila kufanya biashara hiyo iwe inaingiza hela as core bussiness itakataa