Maelekezo aliyotoa Prince Mhando yapo
Vizuri sana. Wewe aliyekuambia lazima u upgrade ndio hizo program zitainstall nani?
Hizo Adobe zinakubali hata Kwa windows za chini ya 10. Fahamu waTZ wengi hawatumii Windows genuine wala program genuine.
Hapo badala ya kutoka msaada unaleta ujuaji na...
Kocha wa Al Ahly Martin Lasarte ametaja majina ya kikosi chake cha wachezaji 21 ambacho kimesafirisha usiku huu kuja Tanzania ili kukabiliana na Simba SC katika mechi ya hatua za makundi ya klabu bingwa Afrika itakayopigwa Jumanne tarehe 12.
Al Ahly katika mchezo uliopita waliitandika Simba...
Jana timu yetu kongwe ya Simba na wawakilishi pekee katika michuano ya kimataifa ya klabu bingwa Afrika walipokea kipigo cha magoli 5-0 kutoka kwa Al Ahly ya Misri.
Kipigo hiki kimekuja siku chache baada ya kipigo kingine cha idadi hiyo hiyo ya 5-0 kutoka AS Vita ya DR Congo. Kipigo kutoka kwa...
Alhabiby Sheikh Abuu Dharr[
Mwenyezi Mungu akulipe kheri wewe na Ustaadh chige Maalim Safuha na wengine wengi walioweka ukweli na kuondosha uongo uliokuwa unawekwa kwa makusudi na makafiri.
Alhabiby hakika umeutendea haki muda wako kwa kutuelimisha na Alhamdulillah nimestafidi sana na darsa...
Kocha wa timu ya Yanga Mwinyi Zahera amemkataa kipa Beno Kakolanya na kwamba ameruhusu aendfe timu nyingine na si Yanga.
Akizungumza na Yanga TV Zahera amesema wale waliomwambia aache kufanya mazoezi wamtafutie timu kabla ya dirisha la usajili kufungwa ila kwa Yanga haiwezekani tena.
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.