Walikuja kazini wakakopesha blander zinatwa silver crest kwa laki tatu mm nikasema hapana, nikaja zunguka madukani bei halisi ni 130000 na sasa hv zimeshuka hadi 75
Nyi wanawake sijui hata mufanyweje, mkipewa hela na huduma mnataka muda, mkipewa muda mnataka hela, na vyote viwili kwa pamoja haiwezekani. Nakushauri tu kama anakuhudumia, hakudharau, anakuonesha heshima basi ridhika. Hayo maamuz magumu utakuja lia baadae
Haya mambo hayajawakuta ila kiukweli wife alizaa njiti na sasa ana miez sita shida ya kumkuza huyo mtoto hadi kufikia uzito unaotakiwa inahitaji moyo wa pekee iwapo sio mwanawe. Kwa ufupi huyo mama anahotaji pongezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.