Recent content by Donie D

  1. D

    Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

    Ni kwamba akiongea zisizidi dk.5 zikizid inakua habari nyingine kabisa,,,ushafatilia mikutano yake anaongea dk. ngapi?
  2. D

    Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

    Iyo picha alikua hata hajachukua fom ya kugombea bhana,,,, naona watu washaanza kupiga domo kweli dah!?
  3. D

    Malori ruksa kubeba watu kwenye kampeni za CCM

    Hata ukiwa ni yaleyale uliza ujibiwe kwa facts
  4. D

    Magufuli, kupiga push ups ni busara? IQ vipi? Ipo?

    U-umoja K-kuvuruga A-amani ya WA-tanzania ukawa ktk ubora wao,,,,tehteh! ukiwa oyeee!!
  5. D

    Dr. Slaa kumjibu askofu Gwajima

    Kweli kabisa mchungaj unahubiri kanisan nyuma yako kuna ma-bodyguard ilo jambo la ajab kabisa na ni utapeli tu,,,,!!
  6. D

    Kama hujawahi kupata 'supplementary'...

    Angetoa source ya information yake eidha kisayansi au vinginevyo,,,sio kuleta uzi sijui umetoa wapi iyo itakua facebook!
  7. D

    Hii kauli ya Magufuli "Polisi ueni Majambazi", imenitisha sana

    Kwa mawazo yako 2,,,watu wanajua rais wao ajaye ni nan,,,!!!
  8. D

    Hii kauli ya Magufuli "Polisi ueni Majambazi", imenitisha sana

    Kwa mawazo yako watu wanajua rais wao ajaye ni nan,,,!!!
  9. D

    Mtu huyu Eddo Kumwembe

    Hahahaaa!!! mbavu sina,,,!!!
  10. D

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Kutoka "semen" ina maana ushaathirika na iyo kitu. Fanya mazoezi sana, usipende kukaa muda mwingi bafuni wakati wa kuoga. Usipende kukaa peke yako, muda mwingi jichanganye na wenzio mpige stori. Usiangalie pornography na uwe serious, baada ya muda utaona!!
  11. D

    Naomba Msaada wa Neno la Kiingereza

    Haswaa!!!
Back
Top Bottom