Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

Soma juu ya picha utagundua ni ya mwezi januari,mambo ya uchaguzi yalikuwa bado

ni picha ya zamani,ila inaonyesha jinsi alivyo karibu na watu na pia mcheshi,,,,sio yule aliefanya maagizo ya kunywa chai ya mamantilie baada ya kuanza kampeini za urais
 
Kwa hisani ya falconMombasa.

Nchi yoyote inatakayoongozwa na rais
mwenye kipara/baldin/uwaraza lazima
nchi hiyo ipatwe na mabalaa kama
ukame,vurugu,majanga ya mafuriko
makubwa na umwajikaji damu kwa
wingi,... basi martine luther alipomaliza
kutoa kauli hii watu wenye vipara
walimpiga jiwe huko chicago mwaka 1967.

Sasa turudi kwenye mifano ya nchi
zilizotawaliwa/zinazotawaliwa na marais
wenye vipara 1.omar al bashir wa sudan
nadhani nyinyi wenyewe ni mashahidi
2.yoweri museveni nadhani mnaweza
kujiridhisha hali ilivyo kwa uganda waasi
hawaishi na mauaji ya wanasiasa hayaishi
3.mwai kibaki nadhani mtukumbuka jinsi
kenya ilivyopitia wakati wa umwagaji
damu mkubwa na njaa kali kabisa kiasi
cha hata mifugo kukosa chakula 4.jacob
zuma nadhani nyinyi wenyewe mnajua
kilichowapata ndugu zetu kule,pia
imekuwa nchi ya pili duniani kwa uhalifu
baada ya afghanstan 5.bejamin mkapa
nadhani watanzania wengi haeatasahau
mvua za el ninyo na mauaji ya zanzibar pia
mauaji ya mwembe chai ni kipindi
ambacho nchi ilimwaga damu kwelikweli
huku njaa ikiongezeka na hata takwimu za
magonjwa zilijuwa juu kabisa,ajalu ya
treni,meli ya mv bukoba, nakadhalika
Watanzania ikifika october 25 nyie ndio
wakuamua mnataka kulipeleka taifa
kwenye taabu au raha
 
Huu ndiyo mwendelezo wa ule mchezo wa mzee wa ndovu anakuwa na taaluma zote kila akifika mahali anafanya kitu wanachofanya....juzi tumemwona Magufuli mwenye akiwa mbeba vyuma kwa kupiga vi-push up vinne sijui anadhani urais ni kwenda kusonga ugali na kupiga push up? Hatudanganyiki kwa hayo

Eti vipush up vinne!!!ebu mwambieni wa kwenu apige push up moja tu tujionee kitakachotokea
 

Jumapili, January 4, 2015




Mgombea Urais wa CCM Dr John Magufuli ameendelea kuwa karibu zaidi na wananchi baada ya kuingia jikoni kusaidiana na wanawake wa Geita kupika ugali.



Acheni ujinga....Lowassa alipopanda daladala mlisema leo ndo anajifanya kupanda daladala. Sasa huyu kufanya maigizo ya kushika mwiko na kupika kuna uhusiano gani na urais
 
Huu ndiyo mwendelezo wa ule mchezo wa mzee wa ndovu anakuwa na taaluma zote kila akifika mahali anafanya kitu wanachofanya....juzi tumemwona Magufuli mwenye akiwa mbeba vyuma kwa kupiga vi-push up vinne sijui anadhani urais ni kwenda kusonga ugali na kupiga push up? Hatudanganyiki kwa hayo

in case unakuwa mzito kuelewa,ile pushapu ilikua ni bonge ya dongo kwa lowasa...

kama vipi lowasa akijibu ile pushapu nampa kura
 
Kwa hisani ya falconMombasa.

Nchi yoyote inatakayoongozwa na rais
mwenye kipara/baldin/uwaraza lazima
nchi hiyo ipatwe na mabalaa kama
ukame,vurugu,majanga ya mafuriko
makubwa na umwajikaji damu kwa
wingi,... basi martine luther alipomaliza
kutoa kauli hii watu wenye vipara
walimpiga jiwe huko chicago mwaka 1967.

Sasa turudi kwenye mifano ya nchi
zilizotawaliwa/zinazotawaliwa na marais
wenye vipara 1.omar al bashir wa sudan
nadhani nyinyi wenyewe ni mashahidi
2.yoweri museveni nadhani mnaweza
kujiridhisha hali ilivyo kwa uganda waasi
hawaishi na mauaji ya wanasiasa hayaishi
3.mwai kibaki nadhani mtukumbuka jinsi
kenya ilivyopitia wakati wa umwagaji
damu mkubwa na njaa kali kabisa kiasi
cha hata mifugo kukosa chakula 4.jacob
zuma nadhani nyinyi wenyewe mnajua
kilichowapata ndugu zetu kule,pia
imekuwa nchi ya pili duniani kwa uhalifu
baada ya afghanstan 5.bejamin mkapa
nadhani watanzania wengi haeatasahau
mvua za el ninyo na mauaji ya zanzibar pia
mauaji ya mwembe chai ni kipindi
ambacho nchi ilimwaga damu kwelikweli
huku njaa ikiongezeka na hata takwimu za
magonjwa zilijuwa juu kabisa,ajalu ya
treni,meli ya mv bukoba, nakadhalika
Watanzania ikifika october 25 nyie ndio
wakuamua mnataka kulipeleka taifa
kwenye taabu au raha

Unawajua marais wangapi duniani?maneno kama haya ukiwaambia watoto wadogo na vichaa utafanikiwa kuwadanganya
 
huyu anaonyesha anajua maisha halisi ya watanzania sio yule anayeact kupanda daladala tena kwa kuanzia gongolamboto badala ya kuanzia masaki
 
hahahha....siwezi siasa.....kama mtu hawezi kujali afya yake kisa ikulu
 
Mbona habari ya Januari 4,2015?Acheni Hizo Japo twaichukia ccm hatutaitoa kwa kujilisha upepo vile.
 
Picha hii naikumbuka sana,alifanya sherehe jimboni kwake Chato baada ya uchaguzi wa S/mitaa 2014
 
vyema sana hayo maisha ameyaishi na anayaishi si mtu wa maigizo ila anatenda na kwa ukaribu huu tutafika mbali Tanzania tumempata rais mwenye mapenz ya dhati na watanzania

Wewe ni mkewe hadi ujue ndivyo hivyo huwa anaishi nyumbani? Kama huwa anapikaga au ni sanaa tu aliokuwa anaifanya?
 

Jumapili, January 4, 2015




Mgombea Urais wa CCM Dr John Magufuli ameendelea kuwa karibu zaidi na wananchi baada ya kuingia jikoni kusaidiana na wanawake wa Geita kupika ugali.


lowassa alipopanda daladala ilikuwanongwa na huyu je?
 
Kujumuika ktk shughuli wazifanyazo watu wako ni dalili ya kuwajari.
Ili akija ukwaa uraisi one day atawakumbuka
 
Back
Top Bottom