Dr. Slaa kumjibu askofu Gwajima

Dr. Slaa kumjibu askofu Gwajima

Status
Not open for further replies.
gwajima alituonesha namna slaa alivyoachana na kanisa na kuamua kuzaa akiwa bado padri....na kuamua kuishi na hawara mke wa mtu...kwa hiyo slaa hana hofu ya mungu

Hay a unayajua Leo nyuma mlibisha. "JITAMBUE"
 
Watakaonufaika na mapambano haya ni wanasiasa tu, lakini kwa upande wa kiimani, Gwajima anaizika huduma yake. Tayari wakristo wa kweli wameshajitenga na mipasho yake.

Kha waishi wp weee! Hebu katisha siku za jpili pale ubungo kanisani kwake uone km kaizika huduma yake au? Sio tu unakurupuka kucoment
 
Gwajima kwa nini unalitukanisha jina la Kristo,please keep quiet.Kahubiri kanisani na kuwafundisha neno la Mungu waumini wako kama kweli wewe ni mtumishi wa Mungu.You are wasting time kwa kuendelea kupeana mipasho na wana siasa.Wewe kama kweli umeokoka ni mwana wa Mungu,hao sio size yako.
Kuna tetesi kuwa huenda Dr Slaa akaibuka wiki ijayo kumjibu askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Dr Slaa anamtuhumu mtumishi huyo wa Mungu kumleta Laigwanan Lowassa ndani ya UKAWA hivyo kumnyima fursa ya kugombea urais kupitia muungano huo wa vyama vya siasa.

Majibu ya Dr Slaa yanakuja baada ya kimya cha muda mrefu tangu askofu Gwajima alipoanika hadharani ukweli kuhusu Dr Slaa kustaafu siasa. Inadaiwa kwamba Dr Slaa amechukua muda mrefu kwa kuwa kwanza alikuwa akitafuta bomu kali la kuja kulipua.

Kwa sasa Dr Slaa yupo nchini Marekani akipumzika na mchumba wake Josephine Mushumbushi.

Awali askofu Gwajima alitahadhalisha kwamba atalipua bomu kali sana endapo Dr Slaa atajitokeza hadharani kumjibu. Haifahamiki mwanasiasa huyo mstaafu amejiandaa kiasi gani kupangua hoja za Gwajima ambazo zina ushahidi wa kutosha. Ni suala la kusubiri na kuona jinsi alivyojiandaa kujibu hoja.

MAONI YANGU
Naomba watanzania wenzangu tutulize mawazo yetu kwenye kampeni; tusiyumbishwe kamwe.

:yield:
 
Gwajima sio kiongoz wa kiroho
Haana maadili ya kuwa askofu
mm namuona n mrevi fulan tu
 
Hivi ni mchumba au Mke?

Hakuna dini ya Yesu au Mohamed inayoruhusu mtu "mwanaume" na mtu "Mwanamke" kuishi (kulala) pamoja bila ndoa. Huo ni uzinifu na chukizo kwa Mungu.

Hivyo Dr. Slaa alisha kengeuka anavunja amri ya sita kwa macho makavu na CCM wanamshabikia. Siku ya kiama atapata adhabu yake yeye na wanaomshabikia ujinga asipotubu dhambi hiyo.

Sifa ya uchumba ni kila mtu akae kwao pasipo "kubadilishana uzoefu" mpaka baada ya ndoa.
 
Hakuna dini ya Yesu au Mohamed inayoruhusu mtu "mwanaume" na mtu "Mwanamke" kuishi (kulala) pamoja bila ndoa. Huo ni uzinifu na chukizo kwa Mungu.

Hivyo Dr. Slaa alisha kengeuka anavunja amri ya sita kwa macho makavu na CCM wanamshabikia. Siku ya kiama atapata adhabu yake yeye na wanaomshabikia ujinga asipotubu dhambi hiyo.

Sifa ya uchumba ni kila mtu akae kwao pasipo "kubadilishana uzoefu" mpaka baada ya ndoa.

Yaani kwahiyo Dr. Slaa anaishi na Mwanamke bila ndoa? Duuh ndio nafahamu leo.
 
gwajima alituonesha namna slaa alivyoachana na kanisa na kuamua kuzaa akiwa bado padri....na kuamua kuishi na hawara mke wa mtu...kwa hiyo slaa hana hofu ya mungu

Hivi kumbe yule alikuwa mke wa mtu???
 
miezi kama mitatu iliyoputa ndio alikuwa rais wako wa moyo....endelea kubadilika kama kinyonga kila mwezi

Ni afadhali kinyonga mimi kuliko yeye aliye kubali kununuliwa na ccm akadhani atatudanganya kumbe tunajua kila kitu
 
PADIRI (in Askofus voice) anyamaze kimya aisee na hivi hela yote ipo kwenye Akaunti ya Mchumba atulie tu kwa kweli
 
Gwajima kwa nini unalitukanisha jina la Kristo,please keep quiet.Kahubiri kanisani na kuwafundisha neno la Mungu waumini wako kama kweli wewe ni mtumishi wa Mungu.You are wasting time kwa kuendelea kupeana mipasho na wana siasa.Wewe kama kweli umeokoka ni mwana wa Mungu,hao sio size yako.

Wasiseme uongo
 
Gwajima sio kiongoz wa kiroho
Haana maadili ya kuwa askofu
mm namuona n mrevi fulan tu

Kweli kabisa mchungaj unahubiri kanisan nyuma yako kuna ma-bodyguard ilo jambo la ajab kabisa na ni utapeli tu,,,,!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom