mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
hata barabara zilizoandikwa kwa msaada wa watu wa amerika kapiga dili ndio maana tukanyimwa tulichoombaAMA kweli nimeamini sisi wapumbavu. Na malofa yaani tunamshabikia mgombea anapiga push ups !! Yaani wakati Tanzania inazidi kuporomoka ! USA wametunyima msaada wa GMG, kwa sababu ya huyo mnayemshabikia kupiga push-ups. Ameiba hela za barabara, hivi mnajua athari watu wetu watakayopata kwa KUKOSA msaada huo ? Ama kweli wakati mwingine naujutia Utanzania WANGU