Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Wasomi tujaribu mara nyingine kuonesha kuwa elimu tuliopata imetusaidia
Hivi wasomi mnaanzia level gani
Wasomi tujaribu mara nyingine kuonesha kuwa elimu tuliopata imetusaidia
Hivi wasomi mnaanzia level gani
wewe ----- tena boya kabisa. Unaona kufeli ni sifa. Ishu siyo kufeli au kufaulu, ishu ni hiyo elimu baada ya kumaliza imekusaidiaje kupambana na maisha
we kilaza acha kujisifia umeshindwa kupata 40 ya 100 unajiita mpambanaji
Angetoa source ya information yake eidha kisayansi au vinginevyo,,,sio kuleta uzi sijui umetoa wapi iyo itakua facebook!
Ww kilaza,