Recent content by dong yi

  1. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    usiwaamini aseno, imagine so far wapo juu ya liver kwa pints 9 licha ya uharo wa liverpool
  2. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    hii ni liver ya brendan rodgers, roy hodgson au daglish 2 tunatia aibu mnooo
  3. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    huyu kocha kuna namna anashindwa kuipanga timu yake, ni kama hajui yupi anafaa wapi...... angalia namna anamtumia chiessa, wirtz, hugo, szobo..... badala ya 433 yeye kaja na mfumo wake wa ajabu,..... best mido wetu ni szobo, yeye anamtumia rb, kwanini hataki kujaribu front 3 ya hugo, wirtz na...
  4. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    mmeizira timu sio?
  5. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    huyu anaweza kuwa suluhu pale nyuma incase likitokea lolote, btw this time around umefanywa usajili wa future, wachezaji wote ukiachana na Izak na frimpong ni under 23! waki-click vizuri basi itakua ni kujaza mashimo tu kwa miaka 3 ijayo!
  6. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    timu ina mabadiliko mengi sana ndio sababu hatuchezi vizuri, itatuchukua game 7-10 kuwa sawa, ila tunahitaj cb kabla ya dirisha kufungwa.... isak tuachane nae tu,,,, ekitiké ni mali ile aisseeeee.... akiendelea vile hakosi goli 20 huyu
  7. dong yi

    Huyu Tony Kapola amekuwaje?

    😲😲
  8. dong yi

    Serikali mpya ya Syria ni mpango wa Urusi?

    Israel anatamani sana Urusi aendelee kuwepo Syria, na inasemwa ndiye aliweka pressure kwa utawala mpya usiwafukuze warusi kwenye ardhi ya Syria! unajua kwanini? Israel anajua ikitokea Urusi akaondoka mazima pale Syria, basi waarabu watakua na nguvu zaidi, na Turkey atazidi kumsogelea yeye...
  9. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    gharama ya Isak ikifika 120+ nitaamini liverpool sasa ina CEO kichaa......
  10. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    nikiona hii kit namkumbuka torres alivyokua anamnyanyasa vidic[emoji23][emoji23][emoji23]
  11. dong yi

    Sportpesa wadhamini ligi ya kenya kwa Tsh. Bilion 22.6

    huwa nashangaa sana Karia kusaini hii mikataba wakati bodi ya ligi inajitegemea[emoji23][emoji23]
  12. dong yi

    Sportpesa wadhamini ligi ya kenya kwa Tsh. Bilion 22.6

    nyie Azam walisaini miaka mingapi? na tbc je?
  13. dong yi

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    dili la Isak naona kabisa hatuna haja nalo, hasa ukiangalia mapungufu yetu mengine! kwanini ulipe over 100m kwa mtu ambae humhitaji kihivyo? hii 100 wasajili cb na dm tu
  14. dong yi

    Mipasho ya Trump kwa Russia, India na kwa aliyekuwa Rais wa Russia Medvedev

    Medvedev nae mswahili kweli[emoji3][emoji3][emoji3]
Back
Top Bottom